Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 450
- 890
- Thread starter
- #101
Ha ha ha kwako ni popote unapolala ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishawaota hawatapata notification kuwa umewatambua na badae kukuletea matatizo?
JamiiForums mobile app
Nimesubscribe kwa ajili ya mirejesho ijumaaa
Mletee mirejesho wanduguuuu
Uzi huu unakimbia kwa kasi sana
Usku wa kuamkia alhamis bado. Tusubiri usiku wa kesho watu wajaribuHivi hakuna Mtu yoyote aliyejaribu kulalia huo Ubani na Mkaa?
Masikini wengi ndio wanapishana kwa waganga , hao ndio watoto wao wana maruhani !Asilimia zaidi ya asilimia 90 yanayokukabili Chanzo chake NI wewe mwenyewe
Hata makanisani kwa akina Rashid Gwajima huko ulishaona tajiri akianguka eti ana mapepo? Never !!!Masikini wengi ndio wanapishana kwa waganga , hao ndio watoto wao wana maruhani !
mrejesho hapa tutegemee ijumaa ila mkaa hutumika sana kuondosha husda na zongo mkaa na magadi, ukikrogewa ukinywa husaidia sana watu hawakupig zongo ovyo
Masikini wengi ndio wanapishana kwa waganga , hao ndio watoto wao wana maruhani !
Okay nimekupata Yello MasaiUsku wa kuamkia alhamis bado. Tusubiri usiku wa kesho watu wajaribu
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay poa MkuuNiliuleta huu uzi juzi kwahio alkhamis ya kwanza itakua kesho kutwa
Leo jumatano, so leo usiku tuchukue cocktail yetu tuweke chini ya mtoto,
Kesho asubuh tuadisiane matokeo wakuu
Huo ubani ni kusagasaga kama ulivo bila kuuchoma??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu umbea ulikusumbuaLive kabisa mzee,ila kujua nani ni nani ni ngumu,kwanza huwez kuwatazama mara mbili kwa jins wanavyotisha,halaf wanakua wamejipaka marangi meusi usoni......niliishia kupiga makelele nyumba nzima waliamka,Asee tusali sana wachawi are real!!