Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 450
- 890
- Thread starter
- #141
Lakini hakuna madhara yoyote?? Unawaona wachawi nao wanakulana ama??
Hakuna madhara ndugu zangu [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hakuna madhara yoyote?? Unawaona wachawi nao wanakulana ama??
Asante sana mkuu I promise asubuhi nitaleta mrejesho!Hakuna madhara ndugu zangu [emoji28]
Asante sana mkuu I promise asubuhi nitaleta mrejesho!
Sjui nkuwekee notification kabisa niwe naona unavyoweweseka na warogi wako huko ndotoni[emoji23]
Au ntakuwa nakosea?😂[emoji28]
Au ntakuwa nakosea?[emoji23]
Amin! Ntakua hapa mapemaWekeni tu ila tukutane asubuhi inshaallah
Mganga majuzi nimeota navamiwa na Mbwa, simba, nyoka yaani matukio yote yametokea ndani ya ndoto Moja.Wekeni tu ila tukutane asubuhi inshaallah
Mganga majuzi nimeota navamiwa na Mbwa, simba, nyoka yaani matukio yote yametokea ndani ya ndoto Moja.
Pia naotaga nakula nyama usiku au nipo shule nini Maana yake
Mganga majuzi nimeota navamiwa na Mbwa, simba, nyoka yaani matukio yote yametokea ndani ya ndoto Moja.
Pia naotaga nakula nyama usiku au nipo shule nini Maana yake
Mganga majuzi nimeota navamiwa na Mbwa, simba, nyoka yaani matukio yote yametokea ndani ya ndoto Moja.
Pia naotaga nakula nyama usiku au nipo shule nini Maana yake
Hivi ni usiku wa leo kuamkia kesho alhamisi au ni usiku wa kesho alhamisi kuamkia ijumaa ndo hii dawa yafaa kufanyika ?
Manukato au Marashi.Hivi udi ndo ubani ama?
Basi kwa Mimi nikubali kuwa umenipita maana Sina mka Wala ubani na ni vigumu kuvipata mida hiiUsiku wa leo kuamkia kesho alkhamisi ila ulale mapema bana mpaka sasa hujalala
Mtaalam nimekuwa nikipokezana kuwashwa kwenye viganja vya mkono Mara kushoto Mara kulia au kuwashwa kwenye makanyagio ya Mguu wa kushoto au kulia Nini Maana yakeUsiku wa leo kuamkia kesho alkhamisi ila ulale mapema bana mpaka sasa hujalala
Kuna siku niliota mbwa wawili wakubwa Sana ambao kupitia ndoto hao waliokuwa na cheo Cha kikomandooo na walikuwa wakinilinda wote wawili na ilipofika muda mbwa mweusi aliitwa kwenda kwenye kikao Chao Basi akaniongoza nikamsindikiza Hadi kwenye chumba Chao Cha kikao ambacho kulikuwa na Wakubwa wao ambao Ni makomandoo wa kibinadamu lakini Yule Mweupe alibaki nje akinisubiria nilipotoka ndani huyu aliyekuwa nje akanisindikiza Hadi alipoona nimefika mahala ambapo siwezi kupotea akarudi.. na nilipita eneo ambako kulikuwa na soko na butcher za nyama za Ng'ombe..Uvamizi wa mnyama katika ndoto ni maadui hivyo hao ni maadui na aina yq mnyqma inamaanisha namna ya uadui ambao anafanya kwako
Mfano nyoka ni uadui wa uchawi, simba ni uadui wa mamlaka mbwa ni uadui wa uhalifu