Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 450
- 890
- Thread starter
- #181
Mungu na shirki ni wapi na wapi
Mungu shirki na uchawi ni vitu tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu na shirki ni wapi na wapi
Nimerogwa maana nimeshaona mtoto wa Mama yangu mdogo niliyekuwa namuhisi muda mrefu. Nitajikomboaje bila kwenda kwa Mshana Jr au mwenyewe Hizbu Sharifu?Habari wanajamii,
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwenyewe kama umerogwa.
1. Chukua mkaa usagesage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.
2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.
Asanteni sana
Mmmh!Yaani ngono ngono.[emoji23][emoji2][emoji1]Lakini hakuna madhara yoyote?? Unawaona wachawi nao wanakulana ama??
Hamna kituHabari wanajamii,
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwenyewe kama umerogwa.
1. Chukua mkaa usagesage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.
2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.
Asanteni sana
Mmmh!Kalio vp mkuu aliwashi pia![emoji41][emoji41][emoji41]Mtaalam nimekuwa nikipokezana kuwashwa kwenye viganja vya mkono Mara kushoto Mara kulia au kuwashwa kwenye makanyagio ya Mguu wa kushoto au kulia Nini Maana yake
Aisee, nimekosea step.nilifikiri ni usiku wa leo alhamisi. Hivyo nitalazimika kusubiri wiki ijayo, ni sahihi shekhe?Usiku wa leo kuamkia kesho alkhamisi ila ulale mapema bana mpaka sasa hujalala
Mkuu weka mambo hadharan ndoto ufanana fanana.Niletee hizi ndoto inbox hapa tunachafua
Umepigwa kweupe mkuu!.Huko unyamwezini mambo zao za maana wanazifanya kwa mambo hizihizi lakini kwa majina tofauti kama vile SANAA ZA GIZA n.k.True maendeleo upunguza hizi mambo
[emoji23][emoji2][emoji16][emoji3][emoji41]Mh! Kwamba asizae hata huko anakoenda kwenye maisha mapya au walaaniwe walioingiza chululu hapo hazikuzaa matunda
Kuna kasherehe ka kishirikina ulifanyiwa ukiwa mtoto nyumbani kwenu....Mimi nimeweka nimeota mambo ya chakula chakula tu.....yani tupo sehemu tunakula ila mimi napewa kipaumbele kwenye hiko chakula...mkuu kwamba ndo narogwa kupitia chakula ama???? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Yani Apo maana yake ulihongwa na mkuu wa wachawi...subiri akujie usiku muende datePia nimeota tupo sehemu kuna muziki dj anapiga muziki na waliomzunguka ni wadada wengiiiiiiiii wanachezacheza hapo.. nakwendakwenda pale kwa dj...mimi nimekaa pembeni sichezi badae dj alivomaliza na kufunga muziki akaandika ki note na kuniachia mkononi yeye akaondoka ndani yake kukiwa na note ya tsh elfu 10 wale wadada walikua wanashangaa sana ???? Nini maana yake??
Mkuu hivi udi ndio ubani?
Mi kwangu nimeota niko na wadau wangu wa shule ya msingi tunakumbushana matukio ya Sherehe yetu ya kumaliza la saba.
Baadae ikajulikana kuwa mdau mmoja ana biashara sokoni mojawapo yakiwa maziwa, basi kwa upendeleo akawa ananionjesha maziwa take kama glasi mbili ndogo! Maziwa yenyewe yalikuwa ya mgando yaliyochemshwa, yalikuwa na ka uchungu flani kwa mbaaaaaali ila yalinivutia.
Nb: Katika maisha ya kawaida halikuwahi kuwapo hilo tukio.
JamiiForums mobile app
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani Apo maana yake ulihongwa na mkuu wa wachawi...subiri akujie usiku muende date
Hapana sisi sio washirikinaKuna kasherehe ka kishirikina ulifanyiwa ukiwa mtoto nyumbani kwenu....
Amina.. Amina hallelujah!Zote zinaashiria mambo mazuri yanakuja, sio mambo madogo ila mambo ya pesa
Asante sana mkuu!Huna anaekuroga ndugu, kwa ndoto ulioota kuna mambo mazuri yanakuja siku zijazo zidisha maombi