matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Hakuna uchawi, kila anayeona karogwa yeye ndio mchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jina uchawi limetokana na nini?Hakuna uchawi, kila anayeona karogwa yeye ndio mchawi
Mimi nimeweka nimeota mambo ya chakula chakula tu.....yani tupo sehemu tunakula ila mimi napewa kipaumbele kwenye hiko chakula...mkuu kwamba ndo narogwa kupitia chakula ama???? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Mkuu unaizungumziaje bange katika ushirikina ni kweli inaweza kukulinda dhidi ya nguvu za gizaHabari wanajamii,
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwenyewe kama umerogwa.
1. Chukua mkaa usagesage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.
2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.
Asanteni sana
Uchawi unaongoza sana kwenye jamii za kiislamu..hata kanda ya ziwa mitaa ya uswahilini yenye waislamu wengi ndio ushirikina wakutosha..hii dini ni ushirikina mtupu..ndio mana mnafuga majini wengi wenu kama sio ushirikina ni nini..hakuna wokovu bila kuamini na kuishi imani ya Yesu.usichanganye uislam na uchawi ndugu yangu.
uchafi au ushirikina ni tabia tu za kishetani ambazo hazina uhusiano wowote na dini...
Uislamu kwenye kitabu kitakatifu cha Koran imeukataza sana ushirikina na unafiki, na ni vitu vinavyoweza kumpeleka mtu motoni haraka sana kwa mujibu wa Koran na Uislam..
Mbeya na Iringa kuna ukristo kwa asilimia kubwa lakini ndio kwenye uchawi kwa wingi sana, Kanda ya Ziwa pia wakristo ni wengi na uchawi ni mwingi pia vipi tuuhusishe ukristo na uchawi wa hao watu? HAPANA hata ukristo kwenye bible umekataza ushirikina na ni tabia tu za kibinadamu ndio zimewafikisha huko..
Mkuu Hizbu Sharifu nina mtoto akiwa amelala anastuka stuka ninaweza kufanyaje kuzuia hii hali?
Pia ninataka kuchanganya mkaa na chumvi ya mawe niweke chini ya godoro, je hii inaweza kuwa kinga dhidi ya uchawi, au ina effect ya namna yoyote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Hizbu Sharifu nina mtoto akiwa amelala anastuka stuka ninaweza kufanyaje kuzuia hii hali?
Pia ninataka kuchanganya mkaa na chumvi ya mawe niweke chini ya godoro, je hii inaweza kuwa kinga dhidi ya uchawi, au ina effect ya namna yoyote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi tukivilalia na leo kuna madhara mkuu?? Make mi asubuhi nilitandika ila nikaviacha palepale chini ya mto !
No no no no no no no! Ngoja nivitupe nje sasahivi aisee!!Leo huwezi kuona ndugu leo ni alkhamis kuamkia ijumaa utawavuta majini mahaba wakusumbue [emoji28]
Mkuu uliwaona ukiwa upo kwenye usingizi au ni kwamba ulikaa macho bila kusinzia ndipo ukawaona?Live kabisa mzee,ila kujua nani ni nani ni ngumu,kwanza huwez kuwatazama mara mbili kwa jins wanavyotisha,halaf wanakua wamejipaka marangi meusi usoni......niliishia kupiga makelele nyumba nzima waliamka,Asee tusali sana wachawi are real!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo huwezi kuona ndugu leo ni alkhamis kuamkia ijumaa utawavuta majini mahaba wakusumbue [emoji28]
Punguza uoga mdogo wanguNo no no no no no no! Ngoja nivitupe nje sasahivi aisee!!
Wacha banahhaya ni ya kweli?Habari wanajamii,
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwenyewe kama umerogwa.
1. Chukua mkaa usagesage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.
2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.
Asanteni sana
Wweeeeee best mimi nataka ya mwanaume halisi za majini hapana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punguza uoga mdogo wangu
Umepotelea Wapi wee mwanaume lakini??? Unaoneka kwa machale sana!Punguza uoga mdogo wangu