Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako

Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako

Mimi nimeweka nimeota mambo ya chakula chakula tu.....yani tupo sehemu tunakula ila mimi napewa kipaumbele kwenye hiko chakula...mkuu kwamba ndo narogwa kupitia chakula ama???? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]

Maana yake wewe mroho[emoji23][emoji1787]


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Habari wanajamii,

Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwenyewe kama umerogwa.

1. Chukua mkaa usagesage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.

2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.

Asanteni sana
Mkuu unaizungumziaje bange katika ushirikina ni kweli inaweza kukulinda dhidi ya nguvu za giza
 
usichanganye uislam na uchawi ndugu yangu.
uchafi au ushirikina ni tabia tu za kishetani ambazo hazina uhusiano wowote na dini...

Uislamu kwenye kitabu kitakatifu cha Koran imeukataza sana ushirikina na unafiki, na ni vitu vinavyoweza kumpeleka mtu motoni haraka sana kwa mujibu wa Koran na Uislam..

Mbeya na Iringa kuna ukristo kwa asilimia kubwa lakini ndio kwenye uchawi kwa wingi sana, Kanda ya Ziwa pia wakristo ni wengi na uchawi ni mwingi pia vipi tuuhusishe ukristo na uchawi wa hao watu? HAPANA hata ukristo kwenye bible umekataza ushirikina na ni tabia tu za kibinadamu ndio zimewafikisha huko..
Uchawi unaongoza sana kwenye jamii za kiislamu..hata kanda ya ziwa mitaa ya uswahilini yenye waislamu wengi ndio ushirikina wakutosha..hii dini ni ushirikina mtupu..ndio mana mnafuga majini wengi wenu kama sio ushirikina ni nini..hakuna wokovu bila kuamini na kuishi imani ya Yesu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu Hizbu Sharifu nina mtoto akiwa amelala anastuka stuka ninaweza kufanyaje kuzuia hii hali?

Pia ninataka kuchanganya mkaa na chumvi ya mawe niweke chini ya godoro, je hii inaweza kuwa kinga dhidi ya uchawi, au ina effect ya namna yoyote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi tukivilalia na leo kuna madhara mkuu?? Make mi asubuhi nilitandika ila nikaviacha palepale chini ya mto !
 
Live kabisa mzee,ila kujua nani ni nani ni ngumu,kwanza huwez kuwatazama mara mbili kwa jins wanavyotisha,halaf wanakua wamejipaka marangi meusi usoni......niliishia kupiga makelele nyumba nzima waliamka,Asee tusali sana wachawi are real!!
Mkuu uliwaona ukiwa upo kwenye usingizi au ni kwamba ulikaa macho bila kusinzia ndipo ukawaona?
 
Habari wanajamii,

Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwenyewe kama umerogwa.

1. Chukua mkaa usagesage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.

2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.

Asanteni sana
Wacha banahhaya ni ya kweli?
 
Back
Top Bottom