Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 450
- 890
- Thread starter
- #161
Kuna siku niliota mbwa wawili wakubwa Sana ambao kupitia ndoto hao waliokuwa na cheo Cha kikomandooo na walikuwa wakinilinda wote wawili na ilipofika muda mbwa mweusi aliitwa kwenda kwenye kikao Chao Basi akaniongoza nikamsindikiza Hadi kwenye chumba Chao Cha kikao ambacho kulikuwa na Wakubwa wao ambao Ni makomandoo wa kibinadamu lakini Yule Mweupe alibaki nje akinisubiria nilipotoka ndani huyu aliyekuwa nje akanisindikiza Hadi alipoona nimefika mahala ambapo siwezi kupotea akarudi.. na nilipita eneo ambako kulikuwa na soko na butcher za nyama za Ng'ombe..
Nini Maana yake
Niletee hizi ndoto inbox hapa tunachafua