Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Hio haifanyi kaziIlikuaje?? Uliwaona???
..nimejaribu just kuprove..trust me hakuna kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio haifanyi kaziIlikuaje?? Uliwaona???
Hio haifanyi kazi
..nimejaribu just kuprove..trust me hakuna kitu
Kuna ile unachukua chumvi na kueka chini ya mto kwa imani kuwa wachawi hawatokudhuru..... Nlijaribu kwa siku 3 doooh!! Kwa ndoto nlokumbana nazo kwa hzo cku ctaki tena mimi.
Ni salama ila ndoto zake n ishu nyngne asee.Doh pole fanya iyo ni salama
Ipi haifanyi kazi
Uchawi ni Haramu na ni Shirki.Nakubaliana na wewe ila mimi natumia uchawi kuzuia wanaodhuriwa na uchawi na natumia uchawi kuwarahisishia waliokua na magumu bila ya kumuasi mungu uchawi ni zawadi ndugu ha ha ha
Ni kweli kabisaNikwambie kitu ndugu, hao matajiri unaowaona wote nnauhakika asilimia hakuna ambae hana mganga wa kumuendeshe mambo yake, wanasjasa masheikh wachungaji na watu maarufu kuna kamati ya kusimamia hizo mambo usione wapo wapo tu
Haya wale kujaribu ndo mida hii mkalale..
Nipo hapa usiku huu kusubiri shuhuda mbalimbali
Utakua unawasaidia huko kwenye kuwaona warogi wao au utakua shughuli nyingine bwana Sharif?Mi ntawasubiri asubuhi
Utakua unawasaidia huko kwenye kuwaona warogi wao au utakua shughuli nyingine bwana Sharif?
Naenda ndio kubondabonda mkaa hapa [emoji23][emoji23][emoji23]Haya wale kujaribu ndo mida hii mkalale..
Nipo hapa usiku huu kusubiri shuhuda mbalimbali
Ahsante sanaHabari wanajamii,
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwenyewe kama umerogwa.
1. Chukua mkaa usagesage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.
2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.
Asanteni sana
Hapo nmekuelewa mkuu.. shukranHapana kila mtu atakujq na alivyoota nitamuelezea wengine hawezi kujua walichoota kinamaana gani
Lakini hakuna madhara yoyote?? Unawaona wachawi nao wanakulana ama??Hapana kila mtu atakujq na alivyoota nitamuelezea wengine hawezi kujua walichoota kinamaana gani
Sjui nkuwekee notification kabisa niwe naona unavyoweweseka na warogi wako huko ndotoni😂Naenda ndio kubondabonda mkaa hapa [emoji23][emoji23][emoji23]