Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako

Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako

Kuna ile unachukua chumvi na kueka chini ya mto kwa imani kuwa wachawi hawatokudhuru..... Nlijaribu kwa siku 3 doooh!! Kwa ndoto nlokumbana nazo kwa hzo cku ctaki tena mimi.
 
Nikwambie kitu ndugu, hao matajiri unaowaona wote nnauhakika asilimia hakuna ambae hana mganga wa kumuendeshe mambo yake, wanasjasa masheikh wachungaji na watu maarufu kuna kamati ya kusimamia hizo mambo usione wapo wapo tu
Ni kweli kabisa
 
Haya wale kujaribu ndo mida hii mkalale..

Nipo hapa usiku huu kusubiri shuhuda mbalimbali
 
Zamani tulikuwa tunaweka mkaa kwenye mchago/mto ila unalala usingizi mzuri kabisa usio na tabu,yani hutaota ndoto za ajabu ajabu
 
Kitu kinachomata humu ni ushahidi wa kweli , atokee mtu atoe shuhuda ya kwweli ... Ndo tunaamini hivi hivi kuharibu kwa Mimi mhh naogopa maana unaweza muona Hata ndugu yako ukaua Bure .. watu njoeni mtu ushahidi wa kwleei jaman
 
Habari wanajamii,

Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwenyewe kama umerogwa.

1. Chukua mkaa usagesage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.

2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.

Asanteni sana
Ahsante sana
 
Back
Top Bottom