Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Kwa kuanzia tu..
Penda mwanamke asiyekupenda..
Penda mwanamke asiyekupenda..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh kwa mm bd Siamin but huku kwetu Jamaa zangu wote ni vimbaumbau wanavuta bangiAlie kuambia Nani wakat Mimi Nina mwaka wa 10 navuta ! Wew unadhani kwanin Korea waliruhusu bangi?
Mmmmh kwa mm bd Siam but uku kwt Jamaa zangu wote ni vimbaumbau wanavuta bangi kisenge
Akifanya hivi kwa displine kubwa ata fanikiwa sanaFanya mazoezi angalua saa moja kwa siku. Ndani ya mwezi mmoja usiguse wali, ugali, chips, soda, red meat, ngano. Gonga nyasi kama mbuzi, na white meat tena ziwe za kuchoma. Yani kata starchy food, junky food, zoote. Utaona matokeo.
Hivi unafahamu calories zilizoko kwenye pombe?Tumia hii kituu....kila siku asubuhi na jioni...
![]()
OhoooooKakojoe jeshini
Mkuu unafikiri huyo anajua hata maaana ya karoli?Hivi unafahamu calories zilizoko kwenye pombe?
Ndio nafahamuHivi unafahamu calories zilizoko kwenye pombe?
Vipi ulinisomeshaaa???? M**** f****rMkuu unafikiri huyo anajua hata maaana ya karoli?
Tazama picha hizi kwa miwanibila kusahau age 28,kiatu navaa namba 15 kubwa je nifanye zoezi gani ili nifikie kilo hata 60
Urefu 250 hiz no sm au kitu gani maaana duuuuhbila kusahau age 28,kiatu navaa namba 15 kubwa je nifanye zoezi gani ili nifikie kilo hata 60
hahahahahaaaa kambi ya jeshi tenaTafuta kambi ya jeshi iliyokaribu nawe.