GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hopeless kabisa!
Na bahati yenu na nina uhakika Siku ya leo hamtokuja Kuisahau kwani nilizozihesabu mmekoswakoswa za Kihalali kabisa ni Sita ( 6 )
Halafu linahojiwa badala lizungumze Kiufundi na Kukiri kuwa leo amefundishwa jinsi ya ' Kulisakata ' lenyewe na Mkofia wake utadhani Mvuvi wa Nungwi bila hata haya / aibu linasema kuwa tokea awali alipanga ' Kupaki Basi ' na huo ndiyo ulikuwa mpango wake.
Sasa kama kumbe ulipanga ' Kupaki Basi ' kwani nawe ulikuwa unashambulia na kutafuta Ushindi wako? Kuna Mijitu mingine kwa jinsi ilivyo Mipuuzi unaweza hata ukiwa nayo karibu na ukaifuma inaongea Upuuzi na Upopoma unaweza kuamua Kuipiga Vibao vya maana kama siyo Ndoo / Vichwa ili ijifunze.
Mganga wenu wa Morogoro msimuache vinginevyo leo mngetafutana pale Mitaa ya Twiga na Jangwani hakyanani.
Nawasilisha.
Na bahati yenu na nina uhakika Siku ya leo hamtokuja Kuisahau kwani nilizozihesabu mmekoswakoswa za Kihalali kabisa ni Sita ( 6 )
Halafu linahojiwa badala lizungumze Kiufundi na Kukiri kuwa leo amefundishwa jinsi ya ' Kulisakata ' lenyewe na Mkofia wake utadhani Mvuvi wa Nungwi bila hata haya / aibu linasema kuwa tokea awali alipanga ' Kupaki Basi ' na huo ndiyo ulikuwa mpango wake.
Sasa kama kumbe ulipanga ' Kupaki Basi ' kwani nawe ulikuwa unashambulia na kutafuta Ushindi wako? Kuna Mijitu mingine kwa jinsi ilivyo Mipuuzi unaweza hata ukiwa nayo karibu na ukaifuma inaongea Upuuzi na Upopoma unaweza kuamua Kuipiga Vibao vya maana kama siyo Ndoo / Vichwa ili ijifunze.
Mganga wenu wa Morogoro msimuache vinginevyo leo mngetafutana pale Mitaa ya Twiga na Jangwani hakyanani.
Nawasilisha.