Jiulize haya maswali unapokuwa kwenye mahusiano

Jiulize haya maswali unapokuwa kwenye mahusiano

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Fumba macho kwa dakika 10 hapo ulipo, kisha tafakari yafuatayo:-
  • Ni nani atakuwa na wewe, bega kwa bega ukiwa gerezani?
  • Ni nani atakuwa na wewe, ukiwa kwenye ugonjwa mahututi?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale utakapopata ulemavu?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale familia itakapofariki?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale familia itakapokutenga?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale utakapoachishwa kazi?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale utakapofilisika?
Jibu utakalopata; tumia muda wako mwingi, pamoja na rasilimali zako kuwekeza kwenye hilo jibu.
 
Screenshot_20220302-155803.jpg
 
Yaani ukitaka kuchanganyikiwa jiulize hayo!!!......kwa kuwa huyo utakaye muamini na ukampata ndo atakufunga miaka 30 jela ,,,kwakukusingizia umembaka house girl wenu!! na ushahidi juu!! lengo uache mali nyumba nk ...ukafie huko! na yeye huku apete na wanaume wengine!

cha kufanya muaminiane Asilimia 0.5 tu........fanya yako na ya kwenye mahusiano utoe asilimia zake hizo..achana na mambo ya wachungaji wanao jua yesu mzungu tuuuuuu!!...km huwezi kachape huko nje...beba watoto!! wakikatalia tambaa gonga wengine wapo wengi tu!!

kila atakaye kupa mwanao chukua somesha kwa raha zako hao ndo wewe na wao ndo wewe!! uhakika mpaka kifo kkikukute!...lkn si vingenevyo mwenye macho na aone!
 
Mwanaume wa kukusaidia ni Mungu tu...

Wazazi sio uhakika sana japo kama mko vizuri ni option nzuri...

Otherwise usitegemee muujiza mwingine...
 
Yaani ukitaka kuchanganyikiwa jiulize hayo!!!......kwa kuwa huyo utakaye muamini na ukampata ndo atakufunga miaka 30 jela ,,,kwakukusingizia umembaka house girl wenu!! na ushahidi juu!! lengo uache mali nyumba nk ...ukafie huko! na yeye huku apete na wanaume wengine!

cha kufanya muaminiane Asilimia 0.5 tu........fanya yako na ya kwenye mahusiano utoe asilimia zake hizo..achana na mambo ya wachungaji wanao jua yesu mzungu tuuuuuu!!...km huwezi kachape huko nje...beba watoto!! wakikatalia tambaa gonga wengine wapo wengi tu!!

kila atakaye kupa mwanao chukua somesha kwa raha zako hao ndo wewe na wao ndo wewe!! uhakika mpaka kifo kkikukute!...lkn si vingenevyo mwenye macho na aone!
Hatari mkuu
 
Mwanaume wa kukusaidia ni Mungu tu...

Wazazi sio uhakika sana japo kama mko vizuri ni option nzuri...

Otherwise usitegemee muujiza mwingine...
Kweli mkuu, binadamu wanabadilika
 
Kweli mkuu, binadamu wanabadilika
Fumba macho kwa dakika 10 hapo ulipo, kisha tafakari yafuatayo:-
  • Ni nani atakuwa na wewe, bega kwa bega ukiwa gerezani?
  • Ni nani atakuwa na wewe, ukiwa kwenye ugonjwa mahututi?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale utakapopata ulemavu?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale familia itakapofariki?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale familia itakapokutenga?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale utakapoachishwa kazi?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale utakapofilisika?
Jibu utakalopata; tumia muda wako mwingi, pamoja na rasilimali zako kuwekezahapo umenena
Fumba macho kwa dakika 10 hapo ulipo, kisha tafakari yafuatayo:-
  • Ni nani atakuwa na wewe, bega kwa bega ukiwa gerezani?
  • Ni nani atakuwa na wewe, ukiwa kwenye ugonjwa mahututi?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale utakapopata ulemavu?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale familia itakapofariki?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale familia itakapokutenga?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale utakapoachishwa kazi?
  • Ni nani atakuwa na wewe, pale utakapofilisika?
Jibu utakalopata; tumia muda wako mwingi, pamoja na rasilimali zako kuwekeza kwenye hilo jibu.
 
Watu mtakuja mfe kwa kujiwazisha mambo makubwa makubwa......

Ww tafuta ela. Itakusaidia ukipata matatizo. Mpenzi au mkeo akuliwaze tu ukitoka kwenye harakati za utafutaji.... Suala la atabaki au atakukimbia ukipata matatizo liondoe kwanza.
 
Back
Top Bottom