Jiunge nami kusema hapana kwa udhalilishaji na ubaguzi anaoufanya mmliki wa clock tower café Iringa

Mtoa mada take this piece of advice halafu chukua maji unywe utapata kisukari bure kwa kulimbikiza hasira
 
Hahaaaah sasa mkuu yote haya yanatoka wapi....kumbe mnayenu mengine hahaaaaah
 
Hata mimi naungana na wewe
huyu atakuwa ameleta mazoea kwenye biashara za watu sasa mwenye biashara kwa kuwa hataki makuu na mtu kamwambia tu bwana we sihitaji tena mteja kama wewe hapa...kuna wateja wengine tabia zao hazivumiliki
 
Mambo hayako hivyo wasamaria wema kariakoo wapo wengi, nadhani una asili yaugumu wa kuelewa, maana muda wote hapa mimi nazungumzia dharula, na wewe umeng'ang'ana na mazoea haya umeshinda.
 
Mambo hayako hivyo wasamaria wema kariakoo wapo wengi, nadhani una asili yaugumu wa kuelewa, maana muda wote hapa mimi nazungumzia dharula, na wewe umeng'ang'ana na mazoea haya umeshinda.
Msamaria mwema gani yupo kariakoo 😂 😂 😂 ....alafu swala la wasamaria wema linatoka wapi wakati kuna vyoo vya kulipia...unaongelea dharura za haja...wewe haja zako huwa zinakubana ndani ya sekunde....alafu huyo mtoa mada kwenye hiyo restaurant anayosema pembeni kidogo tu kuna vyoo vya kulipia hakuviona akataka kwenda kuleta mazoea kwenye biashara za watu
 
Mwanasheria akikwambia summary ni kurasa kumi, akikwambia anaandika kwa kirefu ni kurasa 100 kuendelea.
asante sana kwa kufupisha, hapo imefupishwa sana .

naomba upige kura hapo juu, tupinge ubaguzi alioanzisha nyerere na mandela
Wewe utakuwa ulienda kukazia swaumu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mleta mada huenda kuna kitu kaficha.Miaka yote hiyo asibaguliwe kwanini iwe Leo?

Sent from my Fero L100 using JamiiForums mobile app
 
Mwanasheria Mkubwa huna choo ofisini kwako?
Mie nafikiri ni ugomvi wenu binafsi.
 
Pengine ndugu yetu wakili msomi angetuhabarisha kama tangazo lililobandikwa ndani ya mghahawa anaosema lisemalo''management reserves the right to refuse admission" liko kisheria au la kama jibu ni ndiyo basi awe mpole na kutii agizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…