Jiwe Lililoko Kamanga Fery Jijini Mwanza Libadilishwe jina Kutoka Bismack Rock na kuwa Muujiza wa Mwanamalundi

Lugha ya kigeni? Siyo hakika Kiswahili ni lugha ya kigeni katika Usukuma?
 
Lugha ya kigeni? Siyo hakika Kiswahili ni lugha ya kigeni katika Usukuma?
Anhaa kajaribu kuongea kisukuma Mtwara.

Ukiona hawakuelewi jaribu Kiingereza.

Ukiona hawakuelewi jaribu Kiswahili.

Rudia zoezi hilo Mbeya, Kilwa na Makete.
 
Nimekuja mbio nikidhani mleta mada ni Infantry Soldier
 
Mmeishafanya sasa hii nchi niyawasukuma?Gwajiboy alituletea ukabila na wewe unakuja na hili kwanj vitabu havitoshi
 
Enyelileshi!!
 

Mwanamalundi ndio nani? Ana faida gani kwenye hilo kiwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…