Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Hello Hello WanaJF
Wanaume! Kula hivi
Mwanamke mlishe mumeo/hawara/mpenzi
1.Supu ya maharage
2.Maziwa mtindi
3. Mtori
4. Kitunguu swaumu walau punje 5
5. Asali
6. Nafaka-mbegu za maboga, Karanga
7. Jogging au zoezi la kukimbia
8. Tambua vitu vinavyokutoa stress na kukupa tabasamu
9. Epuka magonjwa ya kujitakia UTI, Malaria, etc.
10. Kitunguu Maji, tangawizi, hoho
11. Tango ila usile na asali
12. Supu za mboga za majani.
13. Ubora wa afya yako
14. Mapokeo ya Mpenzi wako
15. Mvuto wa mwanamke iwe msambwando, Chuchu, lips, rangi,
Haya yanatosha meal planning kuhusu wanga, protein etc mlipie au watasaidia walokuzaaeni.
Jipende jipende jitunze jitunze
Wanaume! Kula hivi
Mwanamke mlishe mumeo/hawara/mpenzi
1.Supu ya maharage
2.Maziwa mtindi
3. Mtori
4. Kitunguu swaumu walau punje 5
5. Asali
6. Nafaka-mbegu za maboga, Karanga
7. Jogging au zoezi la kukimbia
8. Tambua vitu vinavyokutoa stress na kukupa tabasamu
9. Epuka magonjwa ya kujitakia UTI, Malaria, etc.
10. Kitunguu Maji, tangawizi, hoho
11. Tango ila usile na asali
12. Supu za mboga za majani.
13. Ubora wa afya yako
14. Mapokeo ya Mpenzi wako
15. Mvuto wa mwanamke iwe msambwando, Chuchu, lips, rangi,
Haya yanatosha meal planning kuhusu wanga, protein etc mlipie au watasaidia walokuzaaeni.
Jipende jipende jitunze jitunze