Elections 2010 JK aaibika uwanja wa Kipunguni Moshi Bar

Elections 2010 JK aaibika uwanja wa Kipunguni Moshi Bar

Zak Malang

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2008
Posts
5,404
Reaction score
239
Nimepata habari kwamba leo hii Jk alikuwa anahutubia eneo la Kipunguni Moshi Bar jijini Dar na ilipofikia kusema wangapi watampigia kura? Wachache mno walionyesha mkono juu!

Bye Bye JK, mwanakwetu. Pengine it's not your mistake -- ni wapambe wako wanaokudanganya.
 
Sasa nae huyo JK anauliza swali gani hilo? Hajasoma akili za watu?
 
Nimepata habari kwamba leo hii Jk alikuwa anahutubia eneo la Kipunguni Moshi Bar jijini Dar na ilipofikia kusema wangapi watampigia kura? Wachache mno walionyesha mkono juu!

Bye Bye JK, mwanakwetu. Pengine it's not your mistake -- ni wapambe wako wanaokudanganya.

Wala sishangai, huko wa2 washachoka na upuuzi wa mafisadi!
 
Napafahamu sana Moshi Bar, wakuria wengiiiiii! Hawa ndio waliomtoa mbinde kule Tarime, itakuwa Dar? Watu wamefuga kuku mpaka wamechoka! Hapati kitu Kipunguni. Nina rafiki zangu pale Magereza Ukonga wanaishi Kipunguni nao wanasema wamechoka serikali ya CCM! Kazi ipo
 
kheeee mwaka huu anapiga kampeni mpaka kipunguni??uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

.
Maji yashampita mabegani sasa hivi taartibu yanapanda kuziba pua!!
 
Mwaka huu kikweche anapiga kampeni kipunguni? Kesho basi ataenda Bonyokwa na Saranga. Ha ha ha!
 
Leo tena nilikuwa Bandarini kuna jamaa alikuwa ana shout kwa sauti kwenye ofisi ya Bandari pale Chagua SLAA watu wanasema kapitaaa hahhah watu kweli wamemchoka mkwere na CCM yake
 
Barabara ya kuelekea huko ina mahandaki. Mahanga alishanyimwa kura za ubunge akaisusa miaka mingi iliyopita. Nina uhakika hawezi pata hata kura 1 huko
 
Kikwete anongea na anajisikiliza mwenyewe. lol
 
jamani lipumba yuko live atn televison asa ivi

tupashe aliyosema profesa wa uchumi huyu mimi namwamini na hakika kura yangu anastahili kupata wengine wasanii tu!!!!!
 
tupashe aliyosema profesa wa uchumi huyu mimi namwamini na hakika kura yangu anastahili kupata wengine wasanii tu!!!!!

tatizo lako zubeda we umakalia udini tu...We ndo Mbumbu la mwisho na kwa akili hizo watoto wa kike mtazidi kukaa ndani ka ferniture
 
Back
Top Bottom