Elections 2010 JK ajipigia hesabu ya ushindi

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
JK amesema CCM watashinda uchaguzi na kuendelea kushika dola baada ya kufanya tathmini wakati akizunguka nchi nzima kwenye kampeni kwa sababu wanakubalika(Mwananchi 20 Oct. 2010). Tathmini yake katumia vigezo gani hata hasemi? Sasa mbona kampeni zenyewe za kubeba watu? Mbona kampeni zinajumuhisha na watoto wa shule za msingi? Mbona kwingine yeye na wagombea ubunge wamekuwa wakizomewa mfano Bukombe?
 
Utamuweza huyo kilaza wetu:



Anatumia madesa hata pasipostahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…