Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa naanza kuamini nilisikia kaanguka tena na tena nikadhani ni utani..apumzike tu jamani miaka 5 inamtosha.
tehe....tehe............te...te....teeeeeeeeeeeeee......kwa hiyo unamaanisha tuna rais mdoli?
KUISHIWA KINGA YA MWILI aka NGOMA
Mbona mimi nina ngoma lakini sidondoki? au yeye karogwa?
Yawezekana kwani 2005 alidondoka na Iringa kutokana na maelezo ya wakazi wa Iringa walioshuhudia kampeni zake!
Hivi Muungwana alianguka tena jukwaani huko Sengerema na Mbeya? Katikati ya tuhuma za ukwapuaji mabilioni ya shilingi kutoka Hazina na Benki Kuu kwa kutumia makampuni ya kitapeli kama Kagoda Agriculture Limited, nani anategemea wananchi wawe na hamu kubwa ya kusikia uvumi kuwa rais wao ameishiwa nguvu tena na kudoindoka huko Sengerema na Mbeya.Hii haina maana kuwa hayo hayastahili kufahamika; bali vipaumbele vya wakati uliopo vinalazimu hayo yatajwe na kuachwa ili akili na nguvu za wananchi vielekezwe katika kupagania uhuru, haki na ustawi wa jamii zao na mustakabali wa taifa
Katika hili naanza kutilia shaka pia uwezo wake kiaakili kama anaweza kufanya maamuzi sahihi! Tunaweza kuwa tunaona smiling face kumbe ni picha tu!
Hata mganga wake Sheikh Yahya anasema hivyo hivyo kuwa karogwa na kina Slaa na Lipumba. Ila wanasema ana dege dege sijui kweli? TEHE TEHE TEHE !!!!!!!!!!!
Tumuombee
Ugonjwa wa kudondokadondoka hovyohovyo na macho kupindukapinduka kama degedege vile!