JK alikuwa anamaanisha nini?

JK alikuwa anamaanisha nini?

Zipuwawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
3,050
Reaction score
656
166835_194119107271581_100000204799451_836541_2047399_n.jpg
 
Anajikuna kitu kwa mkono wa kulia..hivyvo anazuga kwa kuwaonyesha watu vidole viwili.....
 
Alitaka kuonyesha ile ishara ya freemasons lakini ghafla akagundua kuna mapaparazi, ndio ikabidi azuge kama anaonyesha V.
 
Kwanini tusiwaibie na hii alama maana nzuri kweli kweli.
 
Kwanini tusiwaibie na hii alama maana nzuri kweli kweli.

Hahaa haaa wataweka zote mbili au jembe na nyundo watazitoa? Lakini walivyowachakachuaji wanaweza kuiba mpaka bendera wakaandika CCM badala ya CHADEMA, si unakumbuka jimbo la Karatu walisimamisha mgombea asie na sifa kwa sababu jina lake ni SILAA
 
Anajiuliza...
Hivi nitamaliza miaka 2 kweli bila kuzamisha meli??
 
hapo naona kama anawaza kuwa kati ya tundu lisu na dr. slaa nani mkali?
 
Back
Top Bottom