JK alimleta Dangote, Rais Samia mlete Elon Musk, bilionea namba moja duniani ambaye mabilioni yanamchanganya na anayewaza kuwekeza Mars

JK alimleta Dangote, Rais Samia mlete Elon Musk, bilionea namba moja duniani ambaye mabilioni yanamchanganya na anayewaza kuwekeza Mars

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Utajili wa Dangote ni mkubwa Sana kwa Afrika. Kwa uwekezaji wake wa kiwanda kimoja tu Cha cement alifanikiwa Sana kuukuza uchumi na kupúnguza Bei ya cement na kuikuza sekta ya ujenzi Tanzania.

Ila Kuna ili jini la sasaivi tajili lisiloshikika duniani Mtengenezaji wa gari la umeme Tesla na Meneja Mwandamizi wa SpaceX Elon Musk.

NI mtu mwenye interest Sana na uundaji wa vyombo vya usafiri, Vifaa vya umeme Yani betri za magari ya kuchaji na magari hurushwa vyombo vya kwenda Anga za mbali ambaye anawaza kufanya uwekezaji Mars.

Nadhani ni wakati muafaka Rais atumie Wanadipromasia wabobezi wamshawishi badala ya kuwaza kwenda Mars kuwekeza awekeze Tanzania kwenye treni ya umeme, uzalishaji umeme ata wa nyuklia na kuuza Afrika yote. Tanzania ni sehemu salama Sana na ipo karibu na keki ya dunia Kongo mwali aliyegombaniwa na mabeberu tangu na tangu.

Kwa wasiomjua mtu huyu utajili wake akiutumia kwa asilimia 5% tu anajenga reli yote ya umeme Dar to Mwanza mpaka Kigoma standard ya umeme. Utajili wake ni Mara ishirini ya Dangote na anachotafuta Sasa NI kufanya kitu ambacho akuna billionea anaweza au kuwaza kufanya.

Basi kitu icho kiwe NI kuifanya Tz kuwa Marekani mpya. Utajili wake akiuuza wote anaweza kulipa mshahara wa Sasa wa watumishi wa Uma wa Tanzania kwa miaka 60 ndipo zinaisha.
 
Elon hawazi Faida mkuu

Elon anawaza kupindua meza yaani kufanya vitu unique au vya pekee ili ajijengee heshima

Anawaza watu kwenda kwenye mwezi au Sayari ya Mars iwe ni usafiri wa kawaida tu kama unavyotoka Tanzania kwenda Marekani

Ana waza mtu aweze kusafiri kwa kasi zaidi kuliko sasa anavyosafiri kwa ndege

Ana waza ukifumba macho toka Airport Dar ukifumbua ndani ya Dk moja uwe Marekani

Elon anawekeza kwenye Tafiti za kipekee
 
Wakati Musk akiwaza Mars Colonization wewe unamuwazia aje kuwekeza Tanzania.

Yeye ndoto yake kubwa ni kufanikisha binadamu kwenda kuishi sayari ya Mars na sio kuwekeza Africa.
 
Wakati Musk akiwaza Mars Colonization wewe unamuwazia aje kuwekeza Tanzania.

Yeye ndoto yake kubwa ni kufanikisha binadamu kwenda kuishi sayari ya Mars na sio kuwekeza Africa.
Apo ndipo napotaka watokee washawishi ili innovation zake anazowaza nje ya dunia aone Kuna sehemu anaweza kufanya duniani humu humu na kuacha alAma ambazo hazitasahaulika Kama akina colombs
 
Elon is very smart hawezi kuja huku kwa washenzi .

Sauzi tu alikimbia aje huko ushenzini na anataka

Huyo dangote Hana jinsi miundombinu ashajenga pale inabdi angangamale tu
Lengo NI kuuondoa ushenzi wote tulionao, kuweka mazingira mazuri ya utawala bora, democrasia na utawala wa sheria. Nchi ambazo hazina hivyo vitu hata Kama ikipiga hatua gani kiuchumi ipo siku itaripuka na kuwa makazi ya magaidi Kama Iraq, Sudan na Sasa Ethiophia
 
Back
Top Bottom