Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Ni kweli rais wetu Jakaya Kikwete ana mapungufu katika sekta nyingi ikiwemo ya uchumi ingawa IMF imesema uchumi wetu unazidi kuongezeka mimi sioni kama wako sahihi lakini hili la utawala bora anajitahidi kwa kiasi chake tumpe credit maana ni nadra sana kwa viongozi hasa wa Afrika kuwafikisha mahakamani viongozi wa serikali iliyotangulia kama anavyofanya yeye
Mawaziri wa zamani katika Serikali ya awamu ya tatu, Daniel Yona (kulia) na Basili Mramba wakizungumza na mawakili wao mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana. Yona na Mramba wanakabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya Sh11.7 bilioni.
Mawaziri wa zamani katika Serikali ya awamu ya tatu, Daniel Yona (kulia) na Basili Mramba wakizungumza na mawakili wao mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana. Yona na Mramba wanakabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya Sh11.7 bilioni.