Elections 2010 JK anaumwa ahadism?

Elections 2010 JK anaumwa ahadism?

Baija Bolobi

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
1,093
Reaction score
1,733
JK ana magonjwa mengi. Pamoja na hayo yanayomfanya azimike, kuna ugonjwa huu wa "AHADIsm". Ndani ya wiki moja ya Kampeini ametoa ahadi mpya zisizokuwa katika Ilani ya CCM kama ifuatavyo:

-Kununua boti za kisasa Ziwa Victoria kupambana na majangiri ziwani
-Kununua Meli mpya ya kufidia MV Bukoba
-Kujenga Uwanja mpya wa ndege wa Kimataifa Kajunguti-Kyaka (Wa
Mbeya haujaisha!)
-Kuleta umeme mwingine wa Uganda kwa dola bilioni 1.6 kwa ajili ya
wilaya ya Misenyi
-Kupanua Uwanja wa ndege wa Bukoba ili upokee ndege kubwa
-Kuwaruhusu wananchi wa Misenyi waendelee kukaa katika Ranchi
aliyoiuza yeye mwenyewe kwa wawekezaji!

Huu ni mkoa mmoja. Mpaka tumalize mikoa 5, tutakuwa na kitabu cha ahadi. Zile zilizomo ndani ya Ilani hajazigusa. Ofisa mmoja aliye na JK kwenye msafara amenidokeza kuwa akianza kuhutubia wanashika mapu... kwa hofu ya kusikia ahadi mpya ambazo hazijazungumziwa popote.

Kumnyima JK ni uzalendo.

MNYIME KURA JK ULIOKOE TAIFA NA UGONJWA WA AHADIsm.
 
Yeah -- ahadism!!!! Tehe tehe tehe .....................
 
Inabidi hizi ahadi zote ziandikwe somewhere halafu kuelekea mwisho mwisho wa kampeni aulizwe vitu alivyoahidi na jinsi atakavyotekeleza hizo ahadi
 
huyu bwana akifikika mahali anauliza hivi hapa kuna matatizo gani, akiambia basi ndo hotuba yake hiyo.
hata pale mwanza alipomaliza kuhutubia alikaa akauliza hivi nimeongea yote? basi wale jamaa wakamwambia kuna bara bara ya kamanga hadi sengerema km 30 hujaizungumzia,

wakati anaondoka jukwaan akaanza tena , jamana wananchi kuna kitu nilisahau kuwaambia,na bara bara ya kamanga -sengerema tutaweka rami. asanteni sana.

kwa hiyo kwa mtu makini jk hana jipya napuyanga tu
 
achana na ugonjwa wa mtu wewe si dr ila hapo kwa ahadi mimi nataka akiahidi aeleze pia atatekelezaje?
 
JK ana magonjwa mengi. Pamoja na hayo yanayomfanya azimike, kuna ugonjwa huu wa "AHADIsm". Ndani ya wiki moja ya Kampeini ametoa ahadi mpya zisizokuwa katika Ilani ya CCM kama ifuatavyo:

-Kununua boti za kisasa Ziwa Victoria kupambana na majangiri ziwani
-Kununua Meli mpya ya kufidia MV Bukoba
-Kujenga Uwanja mpya wa ndege wa Kimataifa Kajunguti-Kyaka (Wa
Mbeya haujaisha!)
-Kuleta umeme mwingine wa Uganda kwa dola bilioni 1.6 kwa ajili ya
wilaya ya Misenyi
-Kupanua Uwanja wa ndege wa Bukoba ili upokee ndege kubwa
-Kuwaruhusu wananchi wa Misenyi waendelee kukaa katika Ranchi
aliyoiuza yeye mwenyewe kwa wawekezaji!

Huu ni mkoa mmoja. Mpaka tumalize mikoa 5, tutakuwa na kitabu cha ahadi. Zile zilizomo ndani ya Ilani hajazigusa. Ofisa mmoja aliye na JK kwenye msafara amenidokeza kuwa akianza kuhutubia wanashika mapu... kwa hofu ya kusikia ahadi mpya ambazo hazijazungumziwa popote.

Kumnyima JK ni uzalendo.

MNYIME KURA JK ULIOKOE TAIFA NA UGONJWA WA AHADIsm.
Ni wajibu wa kila mgombea kutoa ahadi
atawafanyia nini wapigakura wake.wala huo si ugonjwa.mbona kuna dalili ya kuogopa? Ama huyo Slaa hana cha kuwaahidi wa Tz.basi akae kando awaachie wanaoweza.Jk hoyeeeeee
 
Inabidi hizi ahadi zote ziandikwe somewhere halafu kuelekea mwisho mwisho wa kampeni aulizwe vitu alivyoahidi na jinsi atakavyotekeleza hizo ahadi
Andikeni tu mtachoka wenyewe .habari ndo hiyoo.
 
JK ana magonjwa mengi. Pamoja na hayo yanayomfanya azimike, kuna ugonjwa huu wa "AHADIsm". Ndani ya wiki moja ya Kampeini ametoa ahadi mpya zisizokuwa katika Ilani ya CCM kama ifuatavyo:

-Kununua boti za kisasa Ziwa Victoria kupambana na majangiri ziwani
-Kununua Meli mpya ya kufidia MV Bukoba
-Kujenga Uwanja mpya wa ndege wa Kimataifa Kajunguti-Kyaka (Wa
Mbeya haujaisha!)
-Kuleta umeme mwingine wa Uganda kwa dola bilioni 1.6 kwa ajili ya
wilaya ya Misenyi
-Kupanua Uwanja wa ndege wa Bukoba ili upokee ndege kubwa
-Kuwaruhusu wananchi wa Misenyi waendelee kukaa katika Ranchi
aliyoiuza yeye mwenyewe kwa wawekezaji!

Huu ni mkoa mmoja. Mpaka tumalize mikoa 5, tutakuwa na kitabu cha ahadi. Zile zilizomo ndani ya Ilani hajazigusa. Ofisa mmoja aliye na JK kwenye msafara amenidokeza kuwa akianza kuhutubia wanashika mapu... kwa hofu ya kusikia ahadi mpya ambazo hazijazungumziwa popote.

Kumnyima JK ni uzalendo.

MNYIME KURA JK ULIOKOE TAIFA NA UGONJWA WA AHADIsm.
HA.....ha .....ha Afadhali yake kwani Slaa anaumwa UAHADIMsm(Ukosefu wa ahadi )
 
huyu bwana akifikika mahali anauliza hivi hapa kuna matatizo gani, akiambia basi ndo hotuba yake hiyo.
hata pale mwanza alipomaliza kuhutubia alikaa akauliza hivi nimeongea yote? basi wale jamaa wakamwambia kuna bara bara ya kamanga hadi sengerema km 30 hujaizungumzia,

wakati anaondoka jukwaan akaanza tena , jamana wananchi kuna kitu nilisahau kuwaambia,na bara bara ya kamanga -sengerema tutaweka rami. asanteni sana.

kwa hiyo kwa mtu makini jk hana jipya napuyanga tu
Hayo ndiyo watu wa maeneo husika wanahitaji sasa unadhani utawaahidi kitu wasichohitaji.
 
Inabidi hizi ahadi zote ziandikwe somewhere halafu kuelekea mwisho mwisho wa kampeni aulizwe vitu alivyoahidi na jinsi atakavyotekeleza hizo ahadi[/QUOTE

kiongozi yoyote duniani lazima awe na mipango ya mbeleni na kwa maana hiyo lazima atoe ahadi katika mipango yake.suala la utekelezaji wa ahadi zinazotolewa ni jukumu la watendaji wake wa chini.hivyo Rais jk yupo sahihi katika kutoa ahadi zake
 
achana na ugonjwa wa mtu wewe si dr ila hapo kwa ahadi mimi nataka akiahidi aeleze pia atatekelezaje?
Wewe unajuaje kwamba si Dr? Jamaa kasema ana ugonjwa wa ahadism wewe unalialia nini? mind mambo yako maana huyo kikwete hawezi hata kueleza vipi atatekeleza aliyoyaahidi.
 
mwandishi umenifurahisha kwani nilidhani ahadism ni uginjwa fulani mpya na ndio ulitaka kuuelezea na ikiwezekana watz tujitahidi kuepukana nao kwani una tiba......km ndivyo nakubari kwa asilimia zaidi ya 100......
 
anavyoitwa JK nachukia sana...mwiteni JM tafadhari
 
Hivi jamani....hakuna uwezekano wa kutenda kwanza halafu baadayte unarudoi kuwaelezea watu kile ulichofanya?.....kwa nini wanakimbilia tu kuahidi wakati wanajua baadaye hawatatekeleza kwa sababu ya ufinyu wa bajeti?....kwa nini tuwapa kura hawa ambao wanatufanye tuonekane masikini kwa kila mwaka kutegemea misaada ya wahisani tuliowapa mikataba minono ?kwa nini tuwape kura watu wanaotoa ahadi kwa kutegeme a misaada badala ya kujenga uwezo wa ndani? Why? Kwa nini jamani lakini?..naamini watz wengi watakkapokuwa na uelewa wa kutosha na kujua jinsi wanavcyodanganywa kwa kanga,sukari,kofia naamini watakuja kuchukia sana mpaka kuanzisha vurugu................
 
TATIZO TUMEENDELEA KUITWA ''NDIYO MZEE'' KWA MIAKA ZAIDI YA 50 BAADA YA UHURU...TUMEACHGA KUFIKIRI KWA AJILI YA WATOTO WETU,WAJUKUU WETU,WAJOMBA ZETU NA MARAFIKI ZETU...TUNAJIJALI SISI TU KWA KUKUBALI KUDANGANYIKA KWA KULISHWA PILAU NA POMBE ZA KIENYEZI KWA SIKU MOJA.......................ANGALIA SIKU MOJA ILIVYO NA GHARAMA KUBWA KWA MIAKA MITANO........................YAAAN WE ACHA TU MUNGU aingilie kati atunusulu na hili balaa
 
Anaitwa jm tafadhari sio jk..................
 
Hizo ahadi alizotoa JK katika Mkoa ambao tayari wenyeji wameishamchoka, sidhani km ataambulia kitu. Nasikia hilo ziwa lenyewe Victoria wenyeji hawaruhusiwi kuvua - ziwa limebinafsishwa. Hiyo Ranchi anayotaka kuwapa wananchi inalindwa kuliko yanavyolindwa machimbo ya Buzwagi.

International Airport ni brainstorm ya Ugandan president - kaguta Mseveni. Nasikia kaiota miaka mingi kwani na UG government ita - invest along TZ

Asituzughe...
 
Ni wajibu wa kila mgombea kutoa ahadi
atawafanyia nini wapigakura wake.wala huo si ugonjwa.mbona kuna dalili ya kuogopa? Ama huyo Slaa hana cha kuwaahidi wa Tz.basi akae kando awaachie wanaoweza.Jk hoyeeeeee

Tatizo sio mgombea kutoa ahadi, kuzitoa ni wajibu wake lakini anauwezo wa kuzitekeleza? au ndio mambo ya PROF J katika "Ndio mzee"
 
Tatizo sio mgombea kutoa ahadi, kuzitoa ni wajibu wake lakini anauwezo wa kuzitekeleza? au ndio mambo ya PROF J katika "Ndio mzee"

Hao ndio chama twawala nyinyi subirini ahadi tu ata YESU aliahidi atarudi hadi leo bado tunamsubiri hivyo maisha bora kwa kila mbongo ni ndoto, na mwaka huu mtakaa sana na notebook kuandika kila ahadi. JK akipeta tutapelekwa mpelampela hadi tujute kuwa wabongo
 
Back
Top Bottom