Jk aongoza maziko ya shekh yahya hussein

Jk aongoza maziko ya shekh yahya hussein

maalim jumar pole na kazi, nimesikiliza sana vipindi vyako redio uhuru pale, ulivyotaja wadhamini wa kile kipindi ndio nikakukumbuka ,kilikuwa kinarushwa mishale ya asubuhi kama sikosei.
pole sana kwa msiba japo kun wengi watakutupia maswali ya ajabu ajabu humu kwenye hii thread yako lakini usife moyo
Al-Ladhīna 'Idhā 'Aşābat' hum Muşībatun Qālū 'Innā Lillāhi Wa 'Innā 'Ilayhi Rāji`ūna".
 
Hivi huyu Sheikh kweli alikuwa "Alhaj"? Maana WaSaudia wasingesita kumkamata na kumnyonga kama angekanyaga Mekkah kwa kuwa nguli kwenye fani za uchawi.
 
Ndugu Wananchi, wekeni tumaini lenu kwa Mungu na wala si kwa mchawi kama huyo. Anyway, Mungu anachukia kifo cha mwenye dhambi...
 
Sheikh gani huyu hata Nguzo ya Tano ya Dini yake hakuwahi kutimiza, ingawa uwezo alikuwa nao maradufu, hata wa kwenda Hajj kila mwaka? Jee, ni sababu alikuwa ni Mchawi (Sorcerer) na siyo Mtu aliyeendana na Imani na Maadili ya Dini yake, na aliogopa kukamatwa na kutiwa hatiani huko Saudia Arabia kwa kukashifu Uislamu?
 
Pole maalim,ila maliim Hao majini wema ndo wanafanya kazi gani na watakuwa mbinguni au kwa shetani?
 
Mzee alikuwa anapaswa kujibu Kesi ya jinai, aliwai kuuwa akiwa kijana kwa wanamjua fika wanalijua hili, nadhani hiyo kesi ilizimwa kwasababu alikuwa Agent wa UWT amefariki akiwa Agent mtiifu wa hilo shirika (RIP!), UWT watu wenu hawana maadili Je ndio mfumo mliojiwekea?.
 
mungu alaze roho ya marehemu mahali panapostahili kutokana na matendo yake
 
05_11_hz8cha.jpg

Rais Jakaya Kikwete akiweka mchanga katika kabuli la Sheikh Yahya Husein wakati wa mazishi yake leo hii kwenye makaburi ya Tambaza jijini Dar es salaam.

Wakuu, hilo kaburi limechimbwa pembezoni mwa nyumba! Kulikoni??? Au macho yangu yana malyenge!
 
Katika hatua inayodhihirisha umuhimu wa Mganga mkuu wa CCM na serikali, ****** aliwakilisha serikali na chama chake katika mazishi ya mganga wao mkuu. Ni ****** huyuhuyu alieona hakuna umuhimu wa kuhudhuria mazishi ya wananchi wasio na hatia waliouawa kinyama na polisi kule Arusha mara baada ya uchaguzi wa Meya wa jiji lile kuchakachuliwa. ****** tena haoni umuhimu wa hata kutoa tamko juu ya mauaji ya kikatili ya wananchi kule Tarime. Bado nasema, kwasababu ****** na walozi wenzie wanaona uganga ni zaidi ya utu, basi bendera ya Tanzania upandishwe nusu mlingoti na ikiwezekana Tanzania iingie katika majonzi ya mwezi mmoja kama ilivyokuwa wakati wa Nyerere. What a fool this guy has become!!

KIKWETE AMZIKA MSHAURI WAKE MKUU.jpg
 
kufa kila mtu atakufa, na si vyema kumhukumu aliyetangulia. Kwani uzima ni wa Mungu na kifo ni kazi yake. Kuhusu kuanguka kwa jk cdhani ni vyema kuhusisha na ushirikina, kwani hata Dr Slaa alianguka, na akavunjika na mkono, na hiyo tuiteje?, sihani kama tutakuwa tunaendeshwa na hisia na kuropoka itatufikisha kwenye ukombozi na ushawishi tunaoutaka. Wafaham kama mbowe alikuwepo kwenye msiba? Jiulize Sheikh yahya nani asiyemfaham ? Siasa ni watu. Usitoe maneno ya kuwafanya baadhi ya watu watilie shaka mtazamo wako.

Ni kweli kabisa.!
 
Kwanini hakwenda arusha? wala hazungumzii mambo ya Mara? si kosa kwenda kwa sheikh Yahaya but kwanini huku kwingine kwenye mauwaji ya wengi haendi? Kule Namibia alienda na kurudi lini? au nani kaenda kutuwakilisha?
 
huyu mtu angekuwa anapita humu angewehuka .khaaaaaaa! watu wana hasira sana nae
 
mkwe're a.k.a gamba kuu a.k. a ****** is a big joke!
 
Back
Top Bottom