JK apata PhD ya International Relations

Champunga bila ya nyerere huyo chikwete angeipata wapi hiyo PHD? Kuna mahali pa kushambulia ovyo ovyo utakavyo hata kama unajipatia lubisi. Lakini kuna pa kuweka tafakuri kabla ya kutoa jibu.mkuu champunga usijeukawa chau bwabwa!!!!
 

Hakika maendeleo hayawezi kuletwa na sisi kama bado tutaendelea kufikiri kiazimio la Arusha. We need technology, skills, and networking with the rest of the world, Rais wetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete anayafahamu hayo na ndiyo mana hawezi kuendelea kuzubaa hapo Magogoni. Anatafuta kutuunganisha waTz tuliodumu sandukuni kwa miaka 45 na watu wegine duniani. Mwanzoni niliongelea upande wa elimu tu lakini pia biashara anafanya vizuri zaidi hata huko uturuki yuko na jopo la wafanyabiashara ameenda nao.

Narudia tena na tena Hongera kwa hiyo PhD unastahili, laiti Marais waliokutangulia wangekuwa na muono kama wako tungekuwa mbali. Usiwasikilize Hao wasiojua kutafuta wanaosubiri kuletewa. Wanasubiri watu waendelee halafu waanzishe azimio lingine la Arusha na kutaifisha mali za watu kisha kuzitelekeza. Hawa ndiyo wavivu wa .......................(Mkapa 200.
 
Champunga bila ya nyerere huyo chikwete angeipata wapi hiyo PHD? Kuna mahali pa kushambulia ovyo ovyo utakavyo hata kama unajipatia lubisi. Lakini kuna pa kuweka tafakuri kabla ya kutoa jibu.mkuu champunga usijeukawa chau bwabwa!!!!

Ooh my God, bado unaamini hivi kweli kazi ni kubwa maana na wengine kule kijijini wanaamini bila chama cha Nyerere (CCM) hakutakuwepo Tanzania. Yaani vijiimami imani tu. Huku tukiendelea kufail.

HONGERA kikwete, KWA hiyo PhD. tena nawaomba university waangalie uwezekana wa kumpatia mama naye haye hata Ka-bachelor ka public relation maana kila penye mwanaume aliyefanikiwa nyuma yake kuna mwanamke imara.

Ukimaliza ziara yako huko uwalete hao wafanyabiasha huku niliko mimi maana nako kuna fursa za kuuza korosho zetu za kule Mtwara.
 
Hivi hizo Phd ni za kuwasaidia kufanya kazi?Kama sivyo hiyo ni heshima isiyo na maslahi na wananchi,ni heshima ya kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa,sawa tu na heshima walizokuwa wakipewa machifu wetu za shanga za shaba huku wakitoa gold...Kilichobadilika ni aina ya heshima tu kutegemea na wakati,lakini kitu ni kile kile....
Heshima zenye mwelekeo wa sifa binafsi za kutunukiwa bila kuzi earn zinazotolewa kwa viongozi wa kitaifa hazitakiwi kutafsiriwa kama heshima kwa Taifa kwani hatuko chini ya utawala wa Kifalme,unless ccm ni kizazi cha kifalme.
 

ya ar a fool.
 
-kweli wameona wampe jamaa hilo shavu coz pamoja na kuzurura koote kule wasimpe degree ya kuendana na matendo yake,wameamua kuutambua mzururo wake(kidding)

-Lakini pia jamaa kajitahidi kuliuza jina la Tanzania nje ingawa gharama ni kubwa,awe strategic sasa
 
Pia nadhani hata hivyo vyuo vianvyowapa viongozi PHDs ni mbinu ya kujitangaza ama?
 
Lazima tutofautishe kutunukiwa na kupata PhD...vinginevyo mtamtukana mkulu bure..kapewa hajasomea na si lazima a-qualify...
 

He he heeee,so hilo susla la kikwete umemalizana nalo au umejikatia tamaa?
 
Kuna ajenda ya siri katika yake maana huwa inakuwa ngumu sana kutoa degree ya heshima, wametoa maana huwa mara nyingi sana wanaweza kutoa labda kwa ajili ya kusafiri kwake maana anajua sana kusafiri na tena kwa hilo la kusafiri tu ni rais wa kwanza barani Africa kwa kusafiri. Hilo wampe hata PhD 4 hivi.
 

Mkuu, kauli hizi zako kwangu mimi zina mlio wa SARCASM. Naona wengi hawajakuelewa unavyompiga nondo Muungwana kimzahamzaha.

Nafikiri somo limeeleweka. Shahada za heshima duniani zipo na zinakubalika. Tulichokosa hapa ni hoja thabiti inayo-justify Mkulu kutunukiwa hiyo PhD ilhali wengi hatujawa impressed na rekodi yake na, hapohapo, tunashaka huenda ni mbinu za Waturuki kutulainisha ili wateke fursa za kiuchumi nchini kwetu bila kudhibitiwa ipasavyo.
 
Labda aende Israel uone kama watampa hata Degree ndio ujue kuna nini maana Tanzania imekuwa mbali sana na Taifa la Israel na kufanya mambo mengi sana kukosa hata katika science na ugunduzi mkubwa sana
 
Labda aende Israel uone kama watampa hata Degree ndio ujue kuna nini maana Tanzania imekuwa mbali sana na Taifa la Israel na kufanya mambo mengi sana kukosa hata katika science na ugunduzi mkubwa sana

Israel ni Jimbo la 53 la Merakani, wamerakani walishampa ka-degree
 
Tumaini uko obsessed na Israel na Marekani.
Bora unipe Mjew kuliko shoga wako Mwarabu.

Hata Waturuki ,wajordanians anapokwenda JK wana mju vizuri Mjew.
Kusema kuwa Israel ni 53 state ya marekani ,ni propaganda za Al qaeda na wengine Jihadists ambao wamekubrainiwash wewe Tumaini na utanzania wako
 

Wewe uko obsessed na jina langu nenda kanisani wamehalalisha ushoga mimi sihitaji wanaume nina wake wawili wazuri

Get out of my way kama huna la kujibu kwenye thread ya nini kuandika about me wtf.
 
JK angepewa hiyo PhD na wazungu ningesema wamempa kwa kuishangaa nchi anayoiongoza mbali na kuwa na migodi mikubwa ya dhahabu barani Afrika bado ni ya pili kwa umasikini duniani kwa vile kapewa na waarabu basi kama si Loliondo nyingine inatafutwa basi wamenusa harufu ya uranium
 
wakuu Tumain na mmakonde,teh teh teh...

Hebu turejee kwenye mstari mara moja mwishowe mtaingiza makanisa na misikiti.Ngoja nionyeshe mfano wa kurejea ktk hoja...

Kwenye hoja,
Mimi naona Jk kwenye siasa za kimataifa kama Rais amefanikiwa but mimi nalia na Foreign policy yetu.Tukiwa na forign policy imara itakua ni muongozo wa Rais yoyote kitaasisi ktk kuimarisha uhusiano na mataifa ya nje bila kuhitaji mizururo isiyo na maana.Our foreign policy inampa rais mwanya wa kuzurura mno .

Hiyo PhD alopewa mkulu pia ni promo za chuo husika.
 

Ninapingana na kufanikiwa kwa Rais/Tanzania katika sera ya nje na siasa za kimataifa zaidi ya kusafiri. Ukilinganisha na miaka ya nyuma, hivi karibuni sijasikia Tanzania ikitoa msimamo katika matukioa muhimu ya kimataifa zaidi ya kauli-wakati mwingine zinazokinzana-kati ya waziri wa mambo ya nje na Rais (Mfano suala la Zimbabwe). Vile vile sidhani kama sera ya nje ya sasa inampa Rais mwanya wa kusafiri kwa sababu watekelezaji wake wakuu walitegemewa wawe mabalozi aliowateua. Labda kwa sababu diplomasia ya karne 21 imebadilika.

Hivi wenye PhD za uhusiano wa kimataifa Tanzania watakuwa JK na Baregu sasa? Mkuu mwenye kufahamu ninaomba anijuze.
 
Mwenzenu JK kavuna, kaeni mkao wa kula hasa kwa vijana.
 
Tumaini ,ushoga tanzania uko coast ,kwenye watu wa aina yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…