JK kufanya mabadiliko madogo baraza la mawaziri??

JK kufanya mabadiliko madogo baraza la mawaziri??

Nakaribia kuukamata uwaziri,naomba niwakaribishe katika sherehe yangu ya kuapishwa hapo tarehe 17/11/2009.Karibuni sana
 
Nalaumu watanzania waliompa kura, mimi nashukuru Mungu, sikumchagua. Baba wa taifa alisema huyu ni zuzu hana hata asili au mshipa wa uongozi, watu tukaanza kuangalia sura utafikiri tulikuwa tunachagua miss kama siyo Mr.

Leo mnalaumu nini subiri uone uozo wa wabongo na 2010 tunampa tena kwa kishindo na theme zake za kikwere.
 
The best way ni kumbadilidilisha yeye mwenyewe
 
Wakati mwingine ukiwa msomaji mzuri wa JF utazani Tz inaundwa na JF tu, lakini ukiwa ndani ya Tz na kusikia sifa anazopata JK na jinsi CCM inavyotesa miongoni mwa wapiga kura utajiuliza uamini wako wa JF.

Sijakuelewa!!
Kwa member wa JF siyo watanzania???
 
Huyo waziri kijana kwa sasa yuko kama boya tu, kazi zote zinafanywa na naibu wake, ni bora huyo kijana ajitoe mwenyewe ili ailinde heshima yake.
 
Huyo waziri kijana kwa sasa yuko kama boya tu, kazi zote zinafanywa na naibu wake, ni bora huyo kijana ajitoe mwenyewe ili ailinde heshima yake.
Bia tamu za RG zinaboresha ubongo
 
Back
Top Bottom