ulimboka
Member
- Aug 23, 2009
- 36
- 0
Jamani jana nimeangalia taarifa ya habari zilizogubikwa na maafa yanayotokana na mvua zinazoendelea kunyesha hapa nchini. Cha kunishangaza ni kwamba Mkuu wa nchi eti alikatiza ziara ila sijajua ni ipi na uzito wa hiyo ziara hadi ikatizwe na kuwahi kifimbo cha malkia.
Lakini je kuna mdau yeyote anayeweza kunifumbua mambo juu ya uzito wa kifimbo cha malkia hadi kushinda maafa haya yanayotukuta sisi na ndugu zetu.
Wana JF naomba kuwasilisha
Lakini je kuna mdau yeyote anayeweza kunifumbua mambo juu ya uzito wa kifimbo cha malkia hadi kushinda maafa haya yanayotukuta sisi na ndugu zetu.
Wana JF naomba kuwasilisha