JK kupangua CCM #1 Mkamba nje list inafuata....

JK kupangua CCM #1 Mkamba nje list inafuata....

Kuna Tetesi kuwa Col.Mstaafu Abdulrahman Kinana na Naibu katibu Mkuu wa CCM Lt.Mstaafu Jaka Mwambi wana nafasi kubwa ktk Uongozi wa Juu wa CCM.Kinachostua zaidi wote ni Askari Wastaafu!,Naona nidhamu ya Jeshi inapandikizwa ndani ya chama cha Mapinduzi.

Mungu wangu, unamtoa makamba unamuweka Kinana..
Yule fisadi kuliko wote, unamtoa nbwa unamuungiza fisi kwenye bucha, lazima ale mpaka mawe ya mizani..Yaani ni sawa sawa unaruka mkojo unakanyaga maharisho...samahanini lakini hamna mtu shuwaini kama yule..uliza vituko alivyofanya wakati yupo wizara ya ulinzi

ama kweli nchi imepata viongozi..nawaonea huruma CCM.
 
FD,
mambo ya udaku hayahitaji facts na proof na nirahisi sana kuchangia,

tukaze buti turudishe 'forums' kwenye mstari....

naunga mkono hii na nyingine zinazoshabihiana na hii ambazo hazina proof zipelekwe kwenye udaku,
 
majungu na uongo!! kwanini kupost majungu lakini?!

FD,

Hapa si ndio mahala pa "NYEPESI"?Yaani zile ambazo mtaani wanaziita redio mbao au kule JKT zilikuwa zikijulikana kama Radio Mustin (it think it's mess tin).
 
FD,

Hapa si ndio mahala pa "NYEPESI"?Yaani zile ambazo mtaani wanaziita redio mbao au kule JKT zilikuwa zikijulikana kama Radio Mustin (it think it's mess tin).

au -Redio "Kifua!"...



 
Kingunge atampisha Makamba pale Ikulu wakati Makamba atampisha Jaka/Kinana.
Tuombe salama
 
Mwawado kwani nidhamu ya jeshi ni mbaya? Mimi nadhani nidhamu inahitajika mahali popote. Siamini kama kuna aina za nidhamu. Nidhamu ni nidhamu tuu na inahitajika toka nyumbani, mitaani hadi kazini. Yeyote atayechaguliwa lazima awe na nidhamu.Akichaguliwa mwanajeshi, tena wa cheo cha juu, tutakuwa kwa asilimia kubwa tunatarajia ataendesha mambo kwa nidhamu.
 
hold on kuna ile mada nyingine kuhusu Cabinet.. naomba ziunganishwe kuna kitu nyeti pale...
 
Back
Top Bottom