tanu benson
Member
- Nov 1, 2010
- 9
- 0
Good option,hata umoja wa mataifa usikio kilio chetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanabodi,
Matokeo ya Urais kwa Majimbo Tanzania, yanakamilika usiku huu ambapo mshindi JK atatangazwa rasmi kesho saa 10 jioni pale kwenye viwanja vya Karimjee na kuapishwa Rasmi Jumamosi Saa 4:00 asubuhi kwenye Uwanja wa Taifa.
Tegemea kuwaona kina Dovutwa, Mziray, Mtamegwa, Rungwe na Lipumba, wakiwa kwenye colourful dress tayari kumpongeza JK kwa genuine smilling faces.
Dr. Slaa anatakiwa sana awepo. Mlio karibu nae, mshaurini asisusie, kweli asisaini kuyakubali matokeo, lakini awepo mahali hapo kuwasilisha live protest yake kwa wahusika for the sake of umoja wa kitaifa.
Slaa hana haja ata ya kwendaaaaaaaa
Atajishushia p yake
Mwafrika, kama Seif ameweza kukubali, why not Dr. Slaa.
Sherehe ya kesho kutangaza matokeo, washindwa wanapewa fursa ya kuongea, ndipo mshindi anatoa hotuba ya shukrani, Dr anatakiwa aitumie chance hii kutoa dukuduku lake.
Wanabodi,
Matokeo ya Urais kwa Majimbo Tanzania, yanakamilika usiku huu ambapo mshindi JK atatangazwa rasmi kesho saa 10 jioni pale kwenye viwanja vya Karimjee na kuapishwa Rasmi Jumamosi Saa 4:00 asubuhi kwenye Uwanja wa Taifa.
Tegemea kuwaona kina Dovutwa, Mziray, Mtamegwa, Rungwe na Lipumba, wakiwa kwenye colourful dress tayari kumpongeza JK kwa genuine smilling faces.
Dr. Slaa anatakiwa sana awepo. Mlio karibu nae, mshaurini asisusie, kweli asisaini kuyakubali matokeo, lakini awepo mahali hapo kuwasilisha live protest yake kwa wahusika for the sake of umoja wa kitaifa.
Something that is much more scarce than ability is the ability to recognize ability.Mkuu Pasco, kwa hiyo Kikwete aliwanadi Lowassa, Chenge, Rostamu na Mramba kulinda umoja wa Kitaifa na sasa unamtaka na Dr. Slaa afanye hivyo hivyo eti kulinda umoja wa Kitaifa. Pasco thanx but no thanx, kama kulinda umoja wa Kitaifa ni kubariki dhulma, wizi na ulaghai basi namshauri Dr. Slaa akae nao mbali kwani vitendo hivyo ndivyo tunavipiga vita. Pasco, kitendo cha Seif kilikuwa cha kinafiki na amewasaliti wana mageuzi popote walipo lakini sishangai kwani baada ya kugombea mara nne na kukosa amegundua kuwa hawezi kuwashinda kwa hiyo ameamua kuungana nao. Kwetu wanamageuzi hivi sasa tumemweka kundi moja na mafisadi tunaowapiga vita.
Mimi namsikiliza Dr. Slaa. Akinambia niwepo nitaenda akisema usiwepo, siendi maana huyo ndiye Rais wangu. Kwa maoni yangu, asiwepo
wabunge wa chadema .. kama slaa akikataa kumtambuwa RAISI WETU MTEULE DR. J.K ,, Inabidi na nyinyi msuse kula kiapo chini yake msiende bungeni, kama walivyofanya CUF! ..
SERIOUSLY..
CHADEMA HAKUNA KITU , CHAMA MAARUFU KWENYE BAADHI YA MIKOA , BADO MNALILIA KWAMBA NYIE MMESHINDA KITI CHA URAIS! KAMA NI WAPINZA WA KWELI FANYENI KAMA WALIVYOFANYA CUF! MSIINGIE BUNGENI..:tape:
Seif kapewa ulaji.... anaamini kuwa atawasilisha matatizo ya wapemba vizuri right now (chukulia kuwa Shein ni mpemba).
Upande wa JMT, hali ni tofauti.
Walichokifanya ccm na mafisadi wa NEC ni zaidi ya maelezo. Dr Slaa kwenda huko ni ku-dignify upuuzi.
Kama ni kuongea, Dr Slaa anaweza kuitisha mkutano wa waandishi wa habari anytime na akasema chochote kile anachotaka kusema.
BTW- kulingana na sheria za nchi, baada ya NEC kutangaza matokeo kesho, ndiyo imetoka hivyo.
Hakuna appeal au chochote kitakachobadili matokeo.
Ndo maana nimebadili signature yangu from now on
PascoNaomba niji quote..
How can we be united by these thugs? I was expecting such typical Tanzanians hypocricy. WE rigged, their votes, we bombed them; but still they are with us; that is the way we should be doing; we steal their money, they don't eat enough; they don't get better education; but still they forget easily; TYPICAL Tanzanians and Congratulations DR, Amiri Jeshi Mkuu; Dictator Jakaya Mrisho KIKWETE!!!!!!!!!!!!!!!Naomba niji quote..
Kiraka, hivi can't we comment on objectivity and impartiality bila kuwa imotional na kuitana 'wanafiki'?. Hivi nimelaumu uwepo wa Lipumba?, I stand to be corrected.Pasco
Mbona unaendekeza unafiki wewe, unalaumu kuwepo kina Lipumba then unashauri na Slaa awepo!!any way kwa mtu mwenye akili anakuelewa uko wapi na una maana gani, umoja wa kitaifa my ass!!!