Elections 2010 JK: na idara hii ya Rostam uliikumbuka?

Utashangaa watapita kwa kishindo majimboni kwao
 
:hand:hawa wanaelewana na mawaziri hivyo hamna haja wao kuongea watapelekewa maendeleo
 


Source: UWAZI

  1. Huyu wa kushoto ni Waziri hivo hawezi kuongeaongea
  2. Huyu wakati alisusa kuongea baada ya kutimuliwa kazi
  3. Huyu wa kulia yupoyupo tu....anaangalia maslahi yake binafsi zaidi....haoni umuhimu wa kutetea shida za wapiga kura wake kwa kuwa akitaka kufanya hivyo anamwamrisha mkuu wa nchi tu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…