Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
Nimepewa taarifa ya kuwa leo JK, yupo Nzega kwaajili ya Kampeni za kujinadi yeye mwenyewe, Mgombea wao wa Ubunge(Hamisi Kigwangala) pamoja na Madiwani wa CCM.
Mkutano huo wa Kampeni utafanyika kwenye uwanja wa Samora huko Nzega mjini na gari lao la TOT (Captain John Komba) lipo huko toka jana.
Nimejulishwa pia kuwa Mgodi wa Dhahabu wa Lusu umetoa standby generator ambazo zitatumika iwapo tu umeme wa TANESCO utakatika, na kuwa jenereta hizo zilikuwa uwanja wa kampeni toka jana jioni na mmoja wa madereva wa mgodi huo alilala wanjani hapo kuzilinda usiku kucha!!
Je, hivi Lipumba au Dr. Slaa nao wakija hapa Nzega watapewa hizo standby generator kwaajili ya kufanyia kampeni?
Nitaendelea kuwajuza mambo yanavyoendelea huko Nzega kadri nitakavyopata habari!
Mkutano huo wa Kampeni utafanyika kwenye uwanja wa Samora huko Nzega mjini na gari lao la TOT (Captain John Komba) lipo huko toka jana.
Nimejulishwa pia kuwa Mgodi wa Dhahabu wa Lusu umetoa standby generator ambazo zitatumika iwapo tu umeme wa TANESCO utakatika, na kuwa jenereta hizo zilikuwa uwanja wa kampeni toka jana jioni na mmoja wa madereva wa mgodi huo alilala wanjani hapo kuzilinda usiku kucha!!
Je, hivi Lipumba au Dr. Slaa nao wakija hapa Nzega watapewa hizo standby generator kwaajili ya kufanyia kampeni?
Nitaendelea kuwajuza mambo yanavyoendelea huko Nzega kadri nitakavyopata habari!