Elections 2010 JK Naye!

Mnaweza kumchukia JK kwa UTENDAJI wake lakini kwenye kujichanganya na watu wa kila rika, haiba, hadhi,..., hana mfanowe.

Kujichanganya na watu bila kuwasaidia ndio usanii wenyewe tunaouzungumzia!
 
Kujichanganya na watu bila kuwasaidia ndio usanii wenyewe tunaouzungumzia!
Hapana. Hiki ni kipaji kama sio karama. Watanzania zaidi ya milioni 40 ataweza kumsaidia kila mmoja? Angalia tu huyo bibi alivyo njema ndani ya TZ ya JK!
 
Huyo ndiye mjukuu wake alibakwa na makamba, hivyo JK anamuombea msamaha
 
danganya toto hii, kachelewa, anakoelekea huenda akaanza kupiga magoti kabisa, tungoje tuone,
ila dhambi hii itamtafuna, dhambi ya kutumia wazeee kufanikisha lengo lako huku ukiwaacha na njaa,
wazee hawana matibabu ya uhakika, dawa nazo hamna, anawatumia wazee kuponda wafanyakazi,
wazee tunaowatunza sisi kwa shida, wazee ambao walipashwa kuwa washauri na si washabiki,
hata sijui aliwapatia nini.......

na ile picha yupo kwenye bango akiwa kijana na mama mmoja limeandikwa upendo kwa mama nalo
mlilete, nani asiyempenda mama yake??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…