JK ni kweli kazaa na mtoto wa ROSTAM?

JK ni kweli kazaa na mtoto wa ROSTAM?

kama huyo binti ana miaka 12 uislam unaruhusu kuingiliwa, kama ni mdogo kuliko hapo basi ataende kuishi kwa JK ila atakuwa akilala na mama yake JK mpaka umri uruhusu kidini.
JK ni muislam hajafanya kosa lolote kama ni habari ni kweli

mod where is :ban: ?
 
Ninawazo kidogo naomba tuanzishe web itakayo kua inashughulikia umbeya na habari za kizushi peke yake tuiache jf kwa great thinker
 
@ Major. Kosa ni nini? Kuzaa au Rostam.!!! MWANA wewe!!!!! MUHESHIMU BABA NA MAMA YAKO upate heri Duniani. Ombi langu kwa Utawala wa JF kuruhusu UPUUZI kama huu kutumwa mtandaoni na wao kuuafiki. HII NI KASHFA KUBWA KUMTUHUMU KIONGOZI KIPENZI KWA WATANZANIA. Mwandishi huyu ananikumbusha hadithi moja kutoka kwa Marehemu Bibi yangu ya Matoto mwenye MDOMO MCHAFU alivyofundwa na DUNIA.

Kipenzi kwa watanzania wapi?! au unamaanisha kipenzi chako na wanaccm wachche nini mkuu??!! soma alama za nyakati!
 
hahaha...usinivunje mbavu lakni ni private issue kama ni kweli.hata ukisoma kitabu chaitwa THE LAST TEMPTATION ,kinadai jesus alikua anapiga mashine ya mary magdalena kama kawa na baada ya kusepa kusurubiwa akamwoa na kuzaa naye baada ya kukimbilia india.na wakiwa wanasepa walikutana na paulo aka sauli ambaye alijulikana kua ni gay akamblackmail mkubwa ili asimkamate amkate kiu .sijua kama walikubaliana mana paul alimwacha jesus akasepa.
That is according to buku hilo na sina uhakika na ukweli wake but ni personal issue

Mh!! kweli ume revenge mkuu!! manake muda si mrefu kutatokea vita ya siria kupitia jf sasa!!
 
@Mchunguzi!!!!! Huo ushahidi wa Major kumtuhumu kiongozi Mkuu wa Nchi kaupata wapi??? Ashukuru JK ni mpole na mwenye hekima na Busara anajua watu anaowaongoza ni wa aina gani. Vyema amsamehe huyo Major kwani nae ni miongoni mwa watu anaowaongoza. Ifike wakati watu wa dizaini hii ya Major wachukuliwe hatua.


Ahsante sana mnikulu wetu manake naona unakaribia kuwa msemaji wa familia si ikulu peke yake!
 
Ninawazo kidogo naomba tuanzishe web itakayo kua inashughulikia umbeya na habari za kizushi peke yake tuiache jf kwa great thinker

Sidhani kama suala hili lingekuwa na mvuto wa pekee kama huyo msichana angekuwa binti Chakubanga, lakini fisadi Rostam hapo ndipo political impact inaponyanyasa akili za watu.
Watu wajanja wanasoma udhaifu wa kumweka sawa mtu ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Hujaona kigugumizi tunachopata katika kutolea maamuzi mazito yanayolihusu Taifa? Kigugumizi hicho kinatokana na kamba tuliyofungwa mguuni.:rockon:
 
Jamani mimi niko huku ugaibuni ila kuna habari nimepewa na mtu wa karibu na familia husika kuwa majuma mawili yamepita sasa tangu jk azae na mtoto wa Rostam, vipi mlioko home, haya mambo yana ukweli?
yakiwa na ukweli yatakusaidia nini?
 
Back
Top Bottom