JK,penyeza ma spy Rwanda wakachukue uraia kiulaiini

JK,penyeza ma spy Rwanda wakachukue uraia kiulaiini

Nyamtala Kyono

Senior Member
Joined
Sep 23, 2010
Posts
163
Reaction score
34
Nimewaza jambo,UWT wangetakiwa kupenyeza watu wao wakti huu wanyarwanda wanaporudishwa kwao. Hii itawafanya wawe raia na itakuwa uwekezaji mzuri sana in the longrun. Watu kama PK wanapaswa kuwa weakened from within.

Toa maoni ya jinsi ya kuishauri serikali katika jambo hili
 
Back
Top Bottom