Elections 2010 JK: Serikali haina uwezo wa kutoa huduma za jamii bure

Kuna kitabu fulani hapa wazungu wanashindwa kuelewa, ikiwa na kichwa cha habari kama ifuatavyo, ngoja nikiweke ktk kiswahili

Wazungu wanauliza

KWANINI TANZANIA NI MASIKINI WAKATI INA HONEST LEADER(NYERERE) NA MALASIA INA CORRUPT LEADER NA INAENDELEA?

Hiyo swali jiulize ukipata jibu, ndo tutajadili vizuri.
 
hey, stop this ignorance. Duniani hakuna kitu "bure". Hakuna nchi yoyote inayotoa kitu chochote bure. Uliza tukupe maelezo jinsi ilivyo.
kwa hiyo hizo t-shirt mnazotoa ni rushwa au ndio kununua wapiga kura au ndio jinsi ya kutekela sera yenu ya kula uliwe?
 
  • Pesa wanazolipwa IPTL kwa mwezi zinatoka wapi?
  • Pesa walizolipwa na RICHMOND na Dowans zingetoka wapi

Je serikali ina pesa zakulipa matatizo ya kujitakia kama IPTL na RICHMOnd lakini kwa huduma za jamii haizwekani ?mhhhh.

JK awaambie watanzania mikataba ya IPTL na RICMOND isingekuwepo hizo pesa zingeeda wapi?
 
Tatizo la Jakaya ni yeye binafsi kusomeshwa bure na fweza za walipa kodi sasa hataki wenzake wasomeshwe bure kama yeye AIBU!

Jamani, ikahii sio kweli! Akina JK na kizazi chake walisoma kwa mkopo na walilipa deni la ada punde walipoanza kazi. Mama yangu mdogo na shangazi yangu wote walipita Mlimani in the 70's na walianza kuilipia madeni yao walivyoajiriwa tuu. OK, inawezekana kwamba enzi zile ada inaweza kuwa ndogo but I think in today's world it is the equally difficult.

Siku hizi mwanafunzi anachukua mkopo HESLB na kwenda shule kusomea degree ya ualimu. Akipangiwa kazi Nanjilinji au Lupembe lwa Senga anakataa, anaingia "Mtaani", na anakosa hela za kuservice deni lake, na anaendelea kubangaiza maisha jijini. Yule mdogo wake anayemfuata anakosa mkopo wa kusomea kule HESLB...........matokeo ya yote collectively wengi wetu tunakuja dai kwamba serikali ya JK haijali wanafunzi, especially wanafunzi maskini. Je, Tutafika???
 
roho inauma sana, naogopa ku-comments mods watanifungia... PAYEE inauma sana, can someone insert senses to Kikwete?
Hivi anakumbuka nchi ilivyolipuka kwa shangwe alipotangazwa kuteuliwa kuwa mgombea wa ccm na mkutano mkuu wa ccm tulivyomchukulia kuwa mkombozi wa taifa hili?
Does he real knows the magnitude of the pains we have kwa kuwasaliti wananchi wa nchi hii wanaoamka kila kukicha kwenda makazini na mashambani wanalipishwa kodi za mazao na PAYEE na pesa hizo anawapa rafiki zake akina Rostam. Is this guy a tru human or reptillian who doesn't care the pains of 40ml restless humans living in Tanzania?

Do this man have any senses???????

Sometimes I wonder if TZ was one of the west african states kama angekuwa bado Ikulu.
 
Hata sasa bado yuko ulaya. Kasomea mambo ya ukomunist katika nchi za kikomunist
 
Huwezi kuwa na viongozi wahuni kama Kikwete na Makamba chama na serikali vika progress. Piga ua tutalia sana tukiwarudisha wahuni tu hawa madarakani.
Vote Dr Slaa we need changes basi. Ondoa wahuni hao madarakani for the sake of Tnzania mpya
 
Mijitu humu inachemsha tu. Pesa za EPA na Richmond zingeweza kujenga shule na mahabara. Lakini gharama kubwa za kuendesha shule zipo kwenye kulipa mishahara na maslahi ya waalimu na wafanyakazi wengine.
 
Huwezi kuwa na viongozi wahuni kama Kikwete na Makamba chama na serikali vika progress. Piga ua tutalia sana tukiwarudisha wahuni tu hawa madarakani.
Vote Dr Slaa we need changes basi. Ondoa wahuni hao madarakani for the sake of Tnzania mpya

Kama kutia nje ya ndoa ni uhuni, Dr. Slaa naye ni mhuni.
 
JK ni mjinga kabisa Kuiba mabilioni inawezekana lakini Elimu ya bure ya mamilioni haiwezekani!!!! Kweli watanzania tu wajinga na wavivu wa kufikiri . Thanks God Mungu amenipa hekima sidanganywi na mwizi wa pesa ya UMMA.

uwezo wake wa kufikiri umeisha, ndo maana anasema haiwezekani
 
JK wakati mwingine inaonyesha hajui kabisa chuki ya wananchi na jhinsi anavyozidi kujitetea ndio amnawaongezea machungu zaidi..Leo anasema tanzania ni nchi maskini na kudai huduma za bure kwa wananchi haziwezekani! ni maneno yasiyopima kabisa athari zake kwani Viongozi wote nchini wanapewa huduma BURE. Wananchi wengi wanajua fika kwamba viongozi wetu wanapewa magari bure, nyumba na wafanyakazi ktk majumba yao bure, umeme na maji bure, TV/Internet bure yaani kila kitu wanachohodhi wamekipata sawa na bure bado anadai nchi yetu ni maskini haiwezi toa huduma za bure kwa wananchi!.

Yeye mwenyewe kanunua ndege na magari ya Ikulu kanunua mapya akiyaacha alokuja nayo Mkapa..Thamani ya hivi vitu pekee inaweza endesha Elimu nchi nzima acha fedha walizoiba. Ningemwelewa tu JK kama angekwisha kata matumizi ya serikali kwa kiwango kikubwa bado tukashindwa lakini anapozidisha matumizi ya serikali kisha bado anashindwa uwezekano wa kuwapa wananchi wake huduma ya elimu bure, basi sidhani kama huyu mtu ameweza jifunza lolote ktk uongozi wa nchi ila pengine ni mfanyabiashara..
 
The truth of the matter is; Nothing is Free in this world!
Free social services means breeding ground forlazy folks and freeloaders!
Nyerere tried, Kaunda tried, China tried, Russia, and even Castro tried and in the end it didn't work!
Even Obama has tried, and he won't get any far as he'll be losing both houses next month!
Wake up people!
 

that is according to you boy, everything is possible its the matter of priorities,, simple example Sweden,Denmark,Finland don't have Tanzanite, gold,songosongo gas etc, but they are giving their citizens free education from kindergarten to university, paying unemployed people, etc,,The simple massage to you fisadi if Europe is for European and India must be for Indians and not Kisutu,Upanga, kariakoo,, your days are numbered its the matter of time. remember Amin gave your grand dad3 month we are going to give you only 48hours you blood agent.
 

kwa taarifa yako hiyo michango haikufutwa na CCm kwa kupenda bali lilikuwa ni shinikizo toka WB,mbona kenya hawalipi ada na sisi tuna resources nyingi kuizidi kenya!? kwa nn tunashindwa km si umbumbu wa serikali ya CCm!? kweli sasa naamini wana CCM wengi ni mbumbu mzungu wa reli.fikira zao ni mbinuko (convex)
 
Kila kata mbili zina shule ya sekondari.Hilo si dogo.Ni hatua ya kupongezwa.Sasa kilichobaki ni kulinda hizi shule na kuzipatia vifaa na walimu.Hiyo ni hatua inayofuata.Haihitaji Phd kufahamu kuwa ni ahadi iliyotekelezeka.

Shule za kata wamejengewa akina nani?Mbona sizioni kule Masaki,au Oysterbay au Capri Point au Uzunguni?Au wao hawana kata?Nitajie mtoto wa kigogo mmoja tu anayesoma shule ya kata!

Kwa mfano USA watu wanatengwa kuokana na shule uliyosoma na hata mshahara wa mwajiri hutokana na shule uliyohitimu,haiwezekani mhitimu wa Sheria Havard alipwe sawa na aliyesoma sheria hiyo hiyo Texas Southern University(TSU) na ipo hivyo hata kwenye uongozi wa juu wa kuchaguliwa na ndiyo maana Mama Palin alikashifiwa sana alipoteuliwa kuwa VP kwa sababu kasoma vyuo vya Community

Isije ikawa shule za kata kwa ajili yetu na WATOTO wao wasome St Mary ili nao waje kututawala maana watoto wao watakuwa na elimu bora zaidi ya sie wa shule za kata!
 
 
Jamani, CCM waliuza viwanda, waliuza mashamba ya wanyama na mazao, wako mbioni kuuza wanyama pori kwa sera ya kuyagawa kwenye vitalu vya uwindaji etc. etc. Wao ndiyo waliokuwa mstari wa mbele kuuwa elimu na kuwabebesha WaTZ misalaba ya zege wakati wao wanabeba misalaba ya mabua!!!!

Hivyo kwa wao kukubali kuwa inawezekana, watajiua wenyewe. Itabidi wawaeleze waTZ, kwa nini walifanya hivyo. Wata fungua "Sanduku la Pandora". Hawataweza kuzuia ghadhabu za Waliopigika.
 
in india have they stopped discrimination of it's own citizen, lower cast, untouchables etc, na na ardhi wengine kwa nini inakuwa ngumu kuwa nayo?
pia unajua kwamba malayasia wapo concern na economy yao kuwa controlled na foreignor's na nikisema foreignor's najua unajua namaanisha nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…