Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,255
jamani hiyo modern railway anayoiongelea kikwete ni kama hii hapa chini, 47?
![]()
i wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani hiyo modern railway anayoiongelea kikwete ni kama hii hapa chini, 47?
![]()
i wapi?
i wapi?
Rais kasema reli inayotumika kwa sasa imeppitwa na wakati kwa hiyo serikali inajiandaa kujenga reli mpya na ya kisasa.
Kukamilika kwa reli hiyo kutaifanya bandari ya dare es salaam kutumika vya kutosha alisema.
Ahadi hiyo itatekelezwa kwa kupitia mkopo wa benki ya maendeleo afrika na nchi tajiri zitatoa misaada mbali mbali.
Mradi hadi kukamilika utatumia dola bilion 5.1 za kimarekani.
Source: ippmedia.com
we kamsamba naomba usirudie tena hii kauli yako kabisa katika maisha yako. Sawa?? Unajua maisha ya ulaya yalivyo wewe? Hivi unataarifa kuwa no free lunch in europe? Unajua maana yake? Hivi unajua kuwa watu wanajiua kwa sababu hawana kazi na wanauaga hadi familia zao kwa sababu ya maisha magumu? Na wote hawa wapo ulaya. Usiongee tu kwa sababu fulani kaongea. Sawa?
offcourse bajaji moja wananunua USD 5900. Na watanunua bajaji 400.
talk is cheap!
Rais kasema reli inayotumika kwa sasa imeppitwa na wakati kwa hiyo serikali inajiandaa kujenga reli mpya na ya kisasa.
Kukamilika kwa reli hiyo kutaifanya bandari ya dare es salaam kutumika vya kutosha alisema.
Ahadi hiyo itatekelezwa kwa kupitia mkopo wa benki ya maendeleo afrika na nchi tajiri zitatoa misaada mbali mbali.
Mradi hadi kukamilika utatumia dola bilion 5.1 za kimarekani.
Source: ippmedia.com
1.Mradi wa mabasi yaendayo kwa kasi
2.Mradi wa treni ziendazo kwa kasi
3.Mradi wa ndege ziendazo kwa kasi
4. Mradi wa meli ziendazo kwa kasi
5.Mradi wa pikipiki za wagonjwa ziendazo kwa kasi
6. Mradi wa baiskeli ziendazo kwa kasi
7.Mradi wa mafisadi uendeshao nchi kwa kasi kwa lengo la kufilisi nchi