Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Jk kwa mtazamo wangu binafsi pamoja na hasara kwa taifa iliyokwisha patikana tafadhali vunja bunge hili kwa sababu zifuatazo;
1> Taratibu na kanuni nyingi juu ya uendeshaji wake zilikuwa hazikuandaliwa awali kwani ingepaswa kuteua wabunge wachache kutoka vyama vyote vya siasa ili kuunda kanuni hiza pasi kuingia hasara kubwa namna hii!
2> suala la muungano lapaswa kujadiliwa upya nje ya bunge hili ikibidi liondole katika mijadala ya katiba yetu kwa sasa na litengenezewe kamati maalumu ya kulishughulikia swala hilo tu,pia baadhi ya misingi yake iliyowekwa na waasisi wake iwe ni mwiko kuigusa
3> JK itakuwa ni jambo baya kabisa kabisa muungano wetu kukufia mikononi mwako,japo watz wote twafahamu jambo hili ulilianzisha kwa nia njema,lakini sasa limekuwa jambo la khatari kubwa,Tafadhali japo waswahili wa nasema ukiyavulia nguo maji shurti uyakoge kwa hii HAPANA! JK vunja bunge hili ili kanuni zitengenezwe! VYA KUVICHOKOA TUVICHOKONOE, VYA HAKHARI TUVIWEKE KANDO NA TUSIVITINGISHE WALA KUVIGUSA,IDUMU TANZANIA
1> Taratibu na kanuni nyingi juu ya uendeshaji wake zilikuwa hazikuandaliwa awali kwani ingepaswa kuteua wabunge wachache kutoka vyama vyote vya siasa ili kuunda kanuni hiza pasi kuingia hasara kubwa namna hii!
2> suala la muungano lapaswa kujadiliwa upya nje ya bunge hili ikibidi liondole katika mijadala ya katiba yetu kwa sasa na litengenezewe kamati maalumu ya kulishughulikia swala hilo tu,pia baadhi ya misingi yake iliyowekwa na waasisi wake iwe ni mwiko kuigusa
3> JK itakuwa ni jambo baya kabisa kabisa muungano wetu kukufia mikononi mwako,japo watz wote twafahamu jambo hili ulilianzisha kwa nia njema,lakini sasa limekuwa jambo la khatari kubwa,Tafadhali japo waswahili wa nasema ukiyavulia nguo maji shurti uyakoge kwa hii HAPANA! JK vunja bunge hili ili kanuni zitengenezwe! VYA KUVICHOKOA TUVICHOKONOE, VYA HAKHARI TUVIWEKE KANDO NA TUSIVITINGISHE WALA KUVIGUSA,IDUMU TANZANIA