JK wa VITUKO: Adanganywa daraja limekamilika, AAIBIKA!

JK wa VITUKO: Adanganywa daraja limekamilika, AAIBIKA!

Wazalendo

Kwani safari za Ulaya na Marekani zimeisha? Ajabu nafikiri mwezi umepita JK anapiga MISELE ndani ya TZ. Hata Ikulu hawezi kukaa kuangalia nchi inaelekea wapi na nini anatakiwa kufanya kama raisi kutoa miongozo na sera zake za kumwinua Mtanzania.

Raisi Tanzania ana tofauti gani na King au Queen? Manake sioni sera zozote ambazo wananchi tunazijua zinatoka kwa raisi. Kila utakayemuuliza katika safu nzima ya uongozi kuanzia raisi mpaka mawaziri na watendaji wa wizara, hawajui kinachoendelea zaidi ya kutupiana mpira. Hata waandishi wao wa habari hawajui wakuu wao wanasimama wapi kwenye issue muhimu za nchi.
 
Wazalendo

Kwani safari za Ulaya na Marekani zimeisha? Ajabu nafikiri mwezi umepita JK anapiga MISELE ndani ya TZ. Hata Ikulu hawezi kukaa kuangalia nchi inaelekea wapi na nini anatakiwa kufanya kama raisi kutoa miongozo na sera zake za kumwinua Mtanzania.

Raisi Tanzania ana tofauti gani na King au Queen? Manake sioni sera zozote ambazo wananchi tunazijua zinatoka kwa raisi. Kila utakayemuuliza katika safu nzima ya uongozi kuanzia raisi mpaka mawaziri na watendaji wa wizara, hawajui kinachoendelea zaidi ya kutupiana mpira. Hata waandishi wao wa habari hawajui wakuu wao wanasimama wapi kwenye issue muhimu za nchi.

hotuba za mwisho wa mwezi hakuna siku hizi ..au hakuna cha kusema???

yupo mikoani na akirudi ni marekani ....subiri
 
rais alijua tokea mwanzo kama ni kupanda mtumbwi! akafikiri kuwa yeye ni "jeshi" na kupanda mtumbwi ni jambo la kawaida.......
kufika kule uzalendo ukamshinda.....!
na ndio maana hakukasirika kuwa kadanganywa ....coz hakudanganywa na mtu hata mmmoja......kajidanganya mwenyewe labda
 
Wazalendo

Kwani safari za Ulaya na Marekani zimeisha? Ajabu nafikiri mwezi umepita JK anapiga MISELE ndani ya TZ. Hata Ikulu hawezi kukaa kuangalia nchi inaelekea wapi na nini anatakiwa kufanya kama raisi kutoa miongozo na sera zake za kumwinua Mtanzania.

Raisi Tanzania ana tofauti gani na King au Queen? Manake sioni sera zozote ambazo wananchi tunazijua zinatoka kwa raisi. Kila utakayemuuliza katika safu nzima ya uongozi kuanzia raisi mpaka mawaziri na watendaji wa wizara, hawajui kinachoendelea zaidi ya kutupiana mpira. Hata waandishi wao wa habari hawajui wakuu wao wanasimama wapi kwenye issue muhimu za nchi.

Rais si alishasema tuvulimilie shida! mimi naona hiyo ndiyo sera ya sasa! au....
 
Hili la muungwana kuogopa kupanda boti kwakua angeliletea taifa hasara kubwa limenichekesha sana.Angezama labda angeliokoa taifa na tungeona mambo ya Shein labda yangekua na unafuu
 
Tokea siku ile darala ilikuwa imekwisha lakini Muungwana ni mtu wa majuu na kama angewkenda kule angechelewa ndege.
 
Jamaa anacheka na nyani wanamaliza shamba letu !!!!!
 
Back
Top Bottom