NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Baada ya kutoka Sudan kuzini kapitiliza mapumziko, akitoka huko moja kwa moja kwenye pipa New york kuhemea. Mtajiju na giza lenu.
sema lako tukusikieHamna la kusema?
Nawapa tu taarifa kwamba Mh Rais yuko Bilila Lodge mapumziko tokea jana.
Tumtakie mapumziko mema Raisi wetu ili arudi akiwa na nguvu mpya ya kulitumikia TAIFA LETU.
Nawakilisha.
Nawapa tu taarifa kwamba Mh Rais yuko Bilila Lodge mapumziko tokea jana.
Tumtakie mapumziko mema Raisi wetu ili arudi akiwa na nguvu mpya ya kulitumikia TAIFA LETU.
Nawakilisha.
Hamna la kusema?
Mie nasikiliza tu!Baada ya kutoka Sudan kuzini kapitiliza mapumziko, akitoka huko moja kwa moja kwenye pipa New york kuhemea. Mtajiju na giza lenu.