nasie itakuwa hivyohivyo, upasuaji wa mishipa na kuziba matundu ya moyo utafanyika hapa, huko nje zitafanyika tiba za mabusha tuUkienda aga khan ya Tanzania unapata tiba ya kibingwa kama aga khan ya India mkuu? Sana sana utaambiwa upewe referral uende aga khan ya India.
JKCI watakosea sana wakifungua matawi ya kibingwa nchi zingine hizo. Labda wafungue vituo tu vya kutolea vipimo kisha wanawalengesha wagonjwa wote waje hapa hapa mwaisela
arusha kuna kcmc dodoma benmkapa mwanza bugando, zote kufika mwakani wataziba matundu ya myoyoWaweke matawi mbeya,Arusha,Dodoma,mwanza na Kigoma ndipo mutuambie habari za Lusaka. Otherwise huu ni upigaji mwingine umeanza
Huko Lusaka,hawajui wao cha kufanya?arusha kuna kcmc dodoma benmkapa mwanza bugando, zote kufika mwakani wataziba matundu ya myoyo
rejea comment zangu juu, hizi huduma zinafaa kutolewa kikanda, kumlipa dr janabi na team yake sio kazi ndogo, kukagua tu moyo sio chini ya 5m, Dr Janabi atatibu ukanda wote wa chini ya jangwa la sahara, kama ilivyo kwa boeing karakana kuu iko south africa inahudumia ukanda wote wa africa na caribean, huko zambia utafanyika ukaguzi wa mioyo tu na kutibu mabusha upasuaji wa mioyo utafanyika darHuko Lusaka,hawajui wao cha kufanya?
rejea comment zangu juu, hizi huduma zinafaa kutolewa kikanda, kumlipa dr janabi na team yake sio kazi ndogo, kukagua tu moyo sio chini ya 5m, Dr Janabi atatibu ukanda wote wa chini ya jangwa la sahara, kama ilivyo kwa boeing karakana kuu iko south africa inahudumia ukanda wote wa africa na caribean, huko zambia utafanyika ukaguzi wa mioyo tu na kutibu mabusha upasuaji wa mioyo utafanyika dar
Kwa hiyo mnapeleka mradi Lusaka kwa sababu ya Janabi? Akikata moto mradi utaelekea wapi?rejea comment zangu juu, hizi huduma zinafaa kutolewa kikanda, kumlipa dr janabi na team yake sio kazi ndogo, kukagua tu moyo sio chini ya 5m, Dr Janabi atatibu ukanda wote wa chini ya jangwa la sahara, kama ilivyo kwa boeing karakana kuu iko south africa inahudumia ukanda wote wa africa na caribean, huko zambia utafanyika ukaguzi wa mioyo tu na kutibu mabusha upasuaji wa mioyo utafanyika dar
mkuu, Janabi sasa hivi ni MD wa Muhimbili ana team ya ma sajon tena vijana wadogowadogo, wanachambua mishipa usipime, hadi ulaya wanaitwa kupiga kaziKwa hiyo mnapeleka mradi Lusaka kwa sababu ya Janabi? Akikata moto mradi utaelekea wapi?
Unajua bei ya cardiac cathetarization nje ya Tanzania, au gharama za operation zozote za JKCI ukilinganisha na nje ya nchi?Mikoani tu hawajafikia watu , gharama zao bado ziko juu bado wanakimbilia nje ,sisi wabongo Mbwembwe nyingi sana
USSR
We sio mzima wa afya sasa😆😆😆kwani hatujajitosheleza? ulisikia wagonjwa wa moyo wanalala chini? hospital kama hii kuhudumia nchi moja ni hasara, inapaswa ihudumie nchi zote za kusini mwa jangwa wa sahara, hizo zitakazofunguliwa namibia zambia zimbabwe msumbiji kongo ni clinic tu,
Aisee, sasa shirika imeshindwa kuhusumia per zonal hata kufika nationally unataka kuipeleka globally. Unajua WHO health laws ni universally ila zipo za local pia. Na mpaka sasa many advanced health sirgeries, procedures na equipments huna au unavyo vichache kwasababu hatujafikiria nusu ya kiwango cha hospitali kama inavuotakiwa kufikia as per worldwide kwasababu hata hospitali ya Kenya hatujaifikia nusu we unaangaika na kutanua huku huduma bado sio standard and complete. Aisee! Unatafuta pesa za kuwalipa madaktari wa hapo au unatafuta kufikia malengo ya huduma bora. Kama wapo wengi huwezi kuwalipa wapelekeni zonal hospitals msogeze huduma karibu. Kila mwezi au miezi 3 mgonjwa anasafiri kutoka mkoani kwenda JKCI kwasababu kuna huduma nyingi zonal hospitals bado hawajaweza kuzifanya. Akili ya mtanzania ni ngumu mno.mkuu, Janabi sasa hivi ni MD wa Muhimbili ana team ya ma sajon tena vijana wadogowadogo, wanachambua mishipa usipime, hadi ulaya wanaitwa kupiga kazi
Boresheni Huduma hapa Tanzania na hospital zote kubwa za Mikoa ziwe zina tiba bobezi.Unajua bei ya cardiac cathetarization nje ya Tanzania, au gharama za operation zozote za JKCI ukilinganisha na nje ya nchi?
Bei za matibabu Tanzania bado ni ndogo mno ukilinganisha na nchi zozote zinazotuzunguka. Ukisema bei ni kubwa toa comparison kuwa unalinganisha na nani