OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 605
Wadau nawauliza je Jakaya kikwete CARDIAC INSTITUTE wanatibu kutumia kadi ya strategies,kwani mwanangu anaumwa ugonjwa wa moyo na sina pesa kwa sasa hivi je wanapokea kadi ya bima ya strategies? Km kuna mtu alishwahi tibiwa pale anisadie kunipa taarifa