Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 20,648
- 17,772
- Thread starter
- #21
A very good excuse 😂 😂Tunaabiria wachache wa ndani kwakua watz wengi bado hawamudu gharama za ndege. ..Hata wale wanaomudu bado hawasafiri kwa kiasi cha kutosha! !
Tunaabiria wachache kutoka nje kwa kua hakuna biashara kubwa zaidi ya watalii wanaokuja Tz..Yawezekana izo ndio sababu kubwa zaidi kwa uelewa wangu