JKIA ranked 2nd fastest growing cargo airport in the world

JKIA ranked 2nd fastest growing cargo airport in the world

The company is kenyan based ,owned by kenyans won African cargo awards 5 times ,2011,2013,2015,2017 and 2019, other notable airlines in jkia are Saudi cargo, Ethiopian, Cargo lux,Emirates cargo and dhl
Hongereni
Mmefanya vizur...
Naonaga Astral Aviation ndege zao hubeba Maua na Samaki KiA na Mwanza na kuzileta NBO...na kisha hapo hupakiwa kwenye ndege za kama Emirates,qatar etc..hii ni kwasababu pia wana charge hela ndogo kwa ndege ku park na mizigo kukaa airport
 
Hiyo inaonyesha kwamba JNIA iliyofanyiwa upgrades juzi tu ni mapambo superficial tu. Sisi kwetu JKIA tunaimarisha real business substance and not style kama Dar.
...Tukiwa serious... our terminal needed the upgrade..terminal 2 was built in 1984...

For a long time imekuwa hindrance kwa sisi ku expand even our national airline..cause capacity ni ndogo

Kitu kilichosaidia kukuwa kwa number of passengers in JKIA ni Kenya airways amabyo inaruka to many african cities connecting them hence JKiA kuwa hub

Kuhusu Cargo you have the cheapest and big warehouses ..but i think soon you will be competing with Ethiopian ...KQ haiko vzur kwenye cargo planes ...ni kwa sababu tu mzgo mingi ya ndege kubwa inaingia NBO then kuwa supplied EA hasa TZ

So lazima tu expand ili kuweza ku compete
 
Good move Kenyans

Though ni urithi tuu huo kutoka East African Airlines mliyoiba na kutoroka na ndege after break up of EA ya kipindi hiko

Isitoshe, hiyo JKIA ndo ilikua hub ya ndege za EA kipindi kile na ilichaguliwa kua hub ya ndege za mashirika mengine kuja EA

After break up ya EA ya kwanza kila kitu mkabaki navyo kwa uroho wenu na roho mbaya yenu from there on safari ya KQ ku take over the market ya EA ndo ikaanza then na hiyo JKIA kua hub, ko JKIA ilikua hub EA tangu enzi

All in all, Cong rats
 
Good move Kenyans

Though ni urithi tuu huo kutoka East African Airlines mliyoiba na kutoroka na ndege after break up of EA ya kipindi hiko

Isitoshe, hiyo JKIA ndo ilikua hub ya ndege za EA kipindi kile na ilichaguliwa kua hub ya ndege za mashirika mengine kuja EA

After break up ya EA ya kwanza kila kitu mkabaki navyo kwa uroho wenu na roho mbaya yenu from there on safari ya KQ ku take over the market ya EA ndo ikaanza then na hiyo JKIA kua hub, ko JKIA ilikua hub EA tangu enzi

All in all, Cong rats

Lakini Kenya ndio iliipa East African Airlines the most money by a long shot
 
Missed this, and man, am I impressed. If we sort out the glaring issues, JKIA will be the most important hub on the continent.
 
Lakini Kenya ndio iliipa East African Airlines the most money by a long shot
Achana na hizo za Kenya kuifadhili E.A Airlines na kulipa madeni yote ya shirika hilo. 85% ya waajiriwa wa E.A. Airlines walikuwa wakenya. Yaani hata enzi hizo bado tulikuwa tunawafunika kweli kweli kwenye viwango vya elimu, uchapakazi, uwajibikaji na kujituma.
 
Good move Kenyans

Though ni urithi tuu huo kutoka East African Airlines mliyoiba na kutoroka na ndege after break up of EA ya kipindi hiko

Isitoshe, hiyo JKIA ndo ilikua hub ya ndege za EA kipindi kile na ilichaguliwa kua hub ya ndege za mashirika mengine kuja EA

After break up ya EA ya kwanza kila kitu mkabaki navyo kwa uroho wenu na roho mbaya yenu from there on safari ya KQ ku take over the market ya EA ndo ikaanza then na hiyo JKIA kua hub, ko JKIA ilikua hub EA tangu enzi

All in all, Cong rats
Hivi unajua Tz mlikuwa mnamiliki asilimia ngapi ya shirika la usafiri wa anga la Afrika Mashariki? Sio hata kwa 15%, Tanganyika 9%, Zanzibar 4%, Uganda 26%, Kenya 61%! Tafakari hayo.
 
...Tukiwa serious... our terminal needed the upgrade..terminal 2 was built in 1984...

For a long time imekuwa hindrance kwa sisi ku expand even our national airline..cause capacity ni ndogo

Kitu kilichosaidia kukuwa kwa number of passengers in JKIA ni Kenya airways amabyo inaruka to many african cities connecting them hence JKiA kuwa hub

Kuhusu Cargo you have the cheapest and big warehouses ..but i think soon you will be competing with Ethiopian ...KQ haiko vzur kwenye cargo planes ...ni kwa sababu tu mzgo mingi ya ndege kubwa inaingia NBO then kuwa supplied EA hasa TZ

So lazima tu expand ili kuweza ku compete
Watanzania wote wangekuwa wanatoa hoja bila hisia Kama wewe, nadhani JF ingekuwa vizuri zaidi. Mara nyingi Watanzania hawapendi kuona wameshindwa Kwa jambo. Utawaona wakitumia lugha ya matusi vile unaonar wengine wao wanafanya hata hapa. Inatia huruma
 
Good move Kenyans

Though ni urithi tuu huo kutoka East African Airlines mliyoiba na kutoroka na ndege after break up of EA ya kipindi hiko

Isitoshe, hiyo JKIA ndo ilikua hub ya ndege za EA kipindi kile na ilichaguliwa kua hub ya ndege za mashirika mengine kuja EA

After break up ya EA ya kwanza kila kitu mkabaki navyo kwa uroho wenu na roho mbaya yenu from there on safari ya KQ ku take over the market ya EA ndo ikaanza then na hiyo JKIA kua hub, ko JKIA ilikua hub EA tangu enzi

All in all, Cong rats
Sasa Ulitaka uwanja wa JKIA ing'olewe ipelekwe Dar baada ya EAC kuvunjika? Ama ulikuwa unataka ilupuliwe ndio kenya ijenge uwanja mpya?
 
Back
Top Bottom