Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 619
Waziri katisha sana awamu ya 3 imesikika vema sasa cjui mtafaruku huu hatma yake nn!!
Form 6 mguu pande
Mbna taarifa yko haina mashiko mkuu.....
Dah! huyo waziri vipi hajielewi kabsaaa! jkt tena.
Mbna taarifa yko haina mashiko mkuu.....
Je,Walioenda diploma mfano diploma ya teaching itakuwaje?
Maana vyuo vimewagomea, wamesema wao masomo yanaanza sep/octAmesema awamu ya pili itamalizika september tarehe hakutaja
awamu ya tatu october
na awamu ya nne january over.....!!