Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 619
Source waziri wa ulinzi bungeni leo asubuhi
nanukuu
awamu ya pili watamaliza mafunzo yao september(tarehe haikutajwa)
awamu ya tatu wataenda octomber(tarehe haikutajwa)
na awamu ya nne itakuwa january (tarehe haikutajwa)
nanukuu
awamu ya pili watamaliza mafunzo yao september(tarehe haikutajwa)
awamu ya tatu wataenda octomber(tarehe haikutajwa)
na awamu ya nne itakuwa january (tarehe haikutajwa)