Kama kuna kitu ambacho mpaka leo Taifa letu lilikipoteza ni kile cha kila kijana anayetazamia na kujiunga na vyuo vya juu kupitia Jeshi La Kujenga Taifa. Nakumbuka kulikuwa na sisi Volunteers and watu ambao ilikuwa compulsory kwao (form six leavers).
Hiki ni kitu ambacho mpaka leo kinafanya tofauti kati ya raia na jeshi kuwa ndogo kwani wengi tumepita huko huko! Pamoja na kwamba wanajeshi hufanya Mafunzo zaidi lakini wote tuliopita huko tunajivunia kulijua jeshi. Mwanajeshi hawezi kukutishia kuhusu jeshi kwani wote tumelionja!
IMF na WB ndio walioshinikiza jeshi lifutwe kama kitu kilichokuwa kinapoteza hela LAKINI thamani ya mshikamano unaopatikana kwa kupita jeshini na kukutana na watu kutoka sehemu mbali mbali na tabaka mbalimbali ni kitu ambacho huwezi kukiquantify. Fikiri mtu kasoma Kibaha, mwingine huko Kibohehe mwingine Mkwawa na wengine kwenye maseminary...mwisho wa siku wote mnakutana jeshini na kuunga urafiki mkiwa jeshini! Baadaye maishani you bump into each other and though you come from different parts/classes you still know each other! JKT ni sehemu moja iliyosaidia ku"humble" watu. You really got to appreciate that maharage na ugali!
Sielewi hawa IMF na WB kwanini waliamua kutuwekea conditions hizo lakini nchi mbali mbali duniani zina hii compulsory National Service/ Military Service. Baadhi ya nchi hizo ni: Albania, Armenia, Austria, Belarus, Bermuda, Brazil,Chile,China (PRC),Colombia,Cyprus,Denmark, Egypt, Finland, Germany, Greece,Iran, Israel, Korea, South, Malaysia, Mexico, Norway, Poland, Russia,Serbia, Singapore, Sweden, Switzerland,Taiwan (ROC),Turkey,Ukraine.
I don't know with the current terrorism trend in the world kama Western Powers watakubali watu wengi wafundishwe katika jeshi then waachiwe kama ilivyokuwa kwa sisi. Mimi mpaka leo naikumbuka drill ya kupiga LMG vizuri sana na naamini I will perform better in combat than the current university leavers ambao hawakupita jeshini. Uzalendo pia ulijengwa kwa nguvu, wengi mtakumbuka DISCO. Wengi tumejifunza kuimba mbele ya watu na kuongea mbele ya watu bila ya woga tukiwa jeshini.
Nafikiri article hii chini inatoa mwanga kuliko wangu. JKT inaweza kujisustain yenyewe kama tutapata maafande viongozi wenye vision. Such labour force if properly managed can produce wonderful results!!
_________________________ beyond my box ___________________________________
Jean Jacques Rousseau argued vehemently against professional armies, feeling it was the right and privilege of every citizen to participate to the defense of the whole society and a mark of moral decline to leave this business to professionals. He based this view on the development of the
Roman republic, which came to an end at the same time as the Roman army changed from a conscript to professional force.
[13] Similarly,
Aristotle linked the division of armed service among the populace intimately with the political order of the state.
[14]
Some
ideologies and cultures, and those based on
collectivism or
statism, value the society and common good above the life of an individual.[
citation needed] Those ideologies and world-views justify the state to force its members to protect itself and risk their lives for the common good. In states based on society-centered ideologies, world-views and religions, conscription is the natural way of raising the army.[
original research?]
In the era of
total war, the conscription is the only alternative for a small nation to build an army of credible strength without depending on alliances. This is particularly the case when the opposing state is significantly larger. In such a case, a voluntary force could not, regardless of its quality, stand against the sheer numbers of the opposing force.
[15]
The right of the state to conscript its citizens can be founded on
utilitarianist principles.[
citation needed] If a greater good would achieved, every thing considered, by sacrificing some soldiers a state should be willing to make this sacrifice.[
original research?] This assumes that state have right to use its citizens for achieving greater good for the humankind.
Conscription can give the conscripts a lasting patriotic view and readiness to die for the good of the whole.[
citation needed] Such readiness should, according to many world-views, be present in a virtuous citizen at all times, but through training, the readiness becomes a grim reality, not rhetoric.[
citation needed] This may decrease the admiration of the military, but may also promote militarism and lead into readiness to use violence in everyday life to solve marital problems.[
citation needed] On the other hand, the fact that every person understands that a war any war means that they themselves, friends, and relatives will be dying or at the least, facing mortal danger, decreases the willingness to enter an armed conflict.[
citation needed] In practice, engaging a conscript force in an aggressive war for a prolonged period results in morale degradation both at home and on the front, testified by
Afghanistan and
Vietnam Wars.[
original research?]
source:
http://en.wikipedia.org/wiki/Conscription