AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
Je naambao hatujaenda?
cjajua,ila lazma ukanyage
Hiyo ni kwa ajili ya wadau wote wa form 6 watakaokuwa wanafaulu kwa kiwango cha Div 1 na 2.
Miaka yote ijayo kuanzia sasa
na walioendaa jkt awamu ya kwanza na kurudi wakakuta wamepata dv3 nao vp haiwahusu hiyo sehemu..! Acha kufikiria kwa kutumia ko_m_a_t_a! tumia kichwaa
wataenda wenyewe mimi tar 12 oct naitajika mkwawa(muce)
Mi mgeni hapa!.. Napita tu.
leo nimepata joining instruction ya www.mzumbe.ac.tz na nimekuta kuna sehemu ya declaration kwa mwanafunzi,sehemu hiyo inauliza TAYARI UMEPITIA JKT?,UTAJE NAMBA YA JKT YA KWAKO NA NAMBA ,JINA LA KAMBI PAMOJA NA OPERATION ZAKO HUKO JKT,je kuna mpango wa kupeleka form 6 tena huko baada ya chuo au?nadhan ni mkakati wa kutaka kujua wangapi hawajaenda iki wapange mambo sawa watu waingie makambini.
Bora ya wewe unayepita tuMi mgeni hapa!.. Napita tu.
leo nimepata joining instruction ya www.mzumbe.ac.tz na nimekuta kuna sehemu ya declaration kwa mwanafunzi,sehemu hiyo inauliza TAYARI UMEPITIA JKT?,UTAJE NAMBA YA JKT YA KWAKO NA NAMBA ,JINA LA KAMBI PAMOJA NA OPERATION ZAKO HUKO JKT,je kuna mpango wa kupeleka form 6 tena huko baada ya chuo au?nadhan ni mkakati wa kutaka kujua wangapi hawajaenda iki wapange mambo sawa watu waingie makambini.