JKT kwa mujibu wa sheria; Je, ni kwa mujibu wa sheria gani hapa Tanzania?

JKT kwa mujibu wa sheria; Je, ni kwa mujibu wa sheria gani hapa Tanzania?

Malengo Jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
287
Reaction score
99
Natumai nyote mnafanya vyema ktk harakati za kuijenga Tanzania.

Hivi karibuni nimesikia watu wakidai kuitwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria. (mimi nikiwa mmoja wao ambaye nimeahirisha kwa sababu niko chuoni tayari) Je, hii sheria imeandikwa kwenye katiba (constitution), imetungwa na bunge (statutory), precedents (case law) au hii sheria imetungwa na "deligated people" e.g Ministers, District Commissioners n.k kama by-laws?
Msaada wenu wakomavu wa sheria ktk nchi hii.
 
Iv awamu ya tatu wameshaenda au haipo? Em nipeni info apo
 
Back
Top Bottom