JKT na Magereza jiongezeni; msifanye miradi midogo midogo ambayo ni fursa za vijana

JKT na Magereza jiongezeni; msifanye miradi midogo midogo ambayo ni fursa za vijana

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Utashangaa JKT na Jeshi la Magereza wanahangaika na biashara ya kuosha magari na kufyatua tofali tena kwa kutumia mashine duni sana wanazotumia vijana mtaani.

Hii miradi ilipaswa waachiwe vijana. Wao watafute biashara zenye uwekezaji mkubwa.

Wakiosha magari vijana mtaani watafanya nini?

Screenshot_20190416-0952472.png

carwash-4294614_960_720.jpg
 
Biashara ya tofali ni biashara kubwa sn mazee, unaweza kutana na order ya tofali elf 50 ambayo inahitaji watu serious, sahivi miradi ni mingi sn wapo sahihi labda washauri wawe wabunifu kwa kuwa na mashine za kisasa
 
Wahakikishe wanafanya vyema kwenye IT,kilimo,maswala ya usafiri,siraha pamoja na sayansi kiujumla baiolojia,kemia na fizikia.
 
Biashara ya tofali ni biashara kubwa sn mazee, unaweza kutana na order ya tofali elf 50 ambayo inahitaji watu serious, sahivi miradi ni mingi sn wapo sahihi labda washauri wawe wabunifu kwa kuwa na mashine za kisasa
Mawazo ya kimasikini
 
Biashara ya tofali ni biashara kubwa sn mazee, unaweza kutana na order ya tofali elf 50 ambayo inahitaji watu serious, sahivi miradi ni mingi sn wapo sahihi labda washauri wawe wabunifu kwa kuwa na mashine za kisasa
Yaani Majeshi ya wenzetu yanaunda Ndege wewe unafyatua tofali unaona sawa?

Jeshi Lina Kila kitu cha kuwawezesha Kufanya mambo makubwa sana
 
Biashara ya tofali ni biashara kubwa sn mazee, unaweza kutana na order ya tofali elf 50 ambayo inahitaji watu serious, sahivi miradi ni mingi sn wapo sahihi labda washauri wawe wabunifu kwa kuwa na mashine za kisasa
Tofali elfu hamsini nyingi sana aseh. Huo ni mradi wa apartments za kutosha.
 
Hawa hawa wakiwa gatini wanaojikuta wajeda?!😃😃
BTW serikali inafaa iwekeze vya kutosha kwenye mindsets na elimu ya kitosha sambba na teknolojia kwenye JKT na magereza hawa ndio wanaweza kuilisha Tanzania hata na afrika mashariki yote wakiamua kwa sababu mpaka sasa ardhi waliyonayo inatosha kabisa
 
Kila mbuzi atakula Kwa urefu wa kamba yake...
 
Back
Top Bottom