JKT Ruvu kama hamkuwa tayari kupokea watoto wetu kulikuwa hamna haja ya kusumbua wazazi

JKT Ruvu kama hamkuwa tayari kupokea watoto wetu kulikuwa hamna haja ya kusumbua wazazi

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Inakera inakera kweli kweli wanafunzi wamesafiri kutoka mikaoni tangu jana ku report Jkt kwa mjibu wa sheria, wamefika alfajiri mna wakata eti wame chelewa mwisho ulikua jana saa sita usiku, nani asie jua usumbufu wa usafiri hapa nchini mtu atoke Geita una tegemea kufika Dar siku hiyo hiyo kweli?

Kama nafasi zomesha uzwa tuambieni watoto tuwatumie nauli warudi makwao kuliko kuka getini tangu alfajiri, hi nchi ina matatizo kweli kweli kila sehemu na hilo mpaka mtu ajuane na kiongozi wa juu ndo mwanae apokelewe viongozi ni wasumbufu bora wawekezaji weje tu.
 
Ina kera inakera kweli kweli wanafunzi wamesafiri kutoka mikaoni tangu jana ku report Jkt kwa mjibu wa sheria, wamefika alfajiri mna wakata eti wame chelewa mwisho ulikua jana saa sita usiku, nani asie jua usumbufu wa usafiri hala nchini mtu atoke Geita unategemea kufika Dar siku hiyo hiyo kweli? Kama nafasi zomesha uzwa tuambieni watoto tuwatumie nauli warudi makwao kuliko kuka getini tangu alfajiri, hi nchi inamatatizo kila sehemu viongozi ni wasumbufu bora wawekezaji weje tu.
Jeshi haliendeshwi kisiasa km hyo serikali yenu ya kijiji, huku ni nidhamu tu, mwisho ulikuwa tar 11.06.2023.
 
Ina kera inakera kweli kweli wanafunzi wamesafiri kutoka mikaoni tangu jana ku report Jkt kwa mjibu wa sheria, wamefika alfajiri mna wakata eti wame chelewa mwisho ulikua jana saa sita usiku, nani asie jua usumbufu wa usafiri hapa nchini mtu atoke Geita una tegemea kufika Dar siku hiyo hiyo kweli?

Kama nafasi zomesha uzwa tuambieni watoto tuwatumie nauli warudi makwao kuliko kuka getini tangu alfajiri, hi nchi ina matatizo kweli kweli kila sehemu na hilo mpaka mtu ajuane na kiongozi wa juu ndo mwanae apokelewe viongozi ni wasumbufu bora wawekezaji weje tu.
Lawama zako hazina msingi kabisa.Tangu lini walitakiwa kuripoti si angewahi kuja? Sawa tuliache hilo,la pili unaishi tanzania ipi? Geita - ruvu hufiki siku hiyo hiyo?nini geita kigoma sikuhizi mbona unafika dar vizuri tu!
 
Mwambie mwanao Aludi mengne Mungu anawaepushaga watot wenu labda Wangekufa huko ?

Kila kitu hutokea kwa sabab maalum Shukuru Mwanao hajaenda huko.... badala ya kulazimisha wampokee bas mtumie nauli aludi ili usije ukaja hat kujutia mbelen maan ningejua hujaga mwisho wa safari.
 
Hata hivyo Wazazi shukuruni Mungu, rudisha mtoto wako nyumbani ntafutie chakufanya huenda ni Mungu anamuepusha na udhalilishaji waliokuwa wanaukana juzi tu hapa au vifo kbs, mambo mengine yakikataa kubali usibishane na nguvu usioiona. Pengine nayo imeuzwa mnajuaje?
 
Kama nauli walilipiwa na Serikali basi jeshi lipo sahihi, kama wametumia Hela zao waruhusiwe kuingia
Serikali ipi ya kutoa nauli? Mtu anatumia zaidi ya 200k kuanda mtoto kuenda jkt kwa kununua vifa tu waka na nauli af unasikia mtu kwamba kambi imeja je wakati walio pagiwa hawajafika, huo ndo utendaji wa jkt kweli.
 
Lawama zako hazina msingi kabisa.Tangu lini walitakiwa kuripoti si angewahi kuja? Sawa tuliache hilo,la pili unaishi tanzania ipi? Geita - ruvu hufiki siku hiyo hiyo?nini geita kigoma sikuhizi mbona unafika dar vizuri tu!
Kwa ndege au kwa basi? Au muhusika anaishi hapo hapo kigoma stendi, safari kwanza ujue Tz ndo ucomment.
 
Back
Top Bottom