Aliyetoa lawama hizi utadhani alishache mpira au Hata kukimbia mita 400 au sembuse 100 za uwanja. Kumbuka dakiza za majeruhi fatigue inakuwa Kubwa sana, wakati mwingine akili inataka kufanya hivi lakini mwili unagoma.
Inawezekana aliamini anamshika nje ya box, kwani beki yao ilifanya hivyo mara kdhaa nje ya box kudhibiti mashambulizi.