JKT Tanzania, TAKUKURU na Bodi ya Ligi ichunguze bank account na kumhoji mchezaji Mohamed Bakari

Mimi binafsi namshukuru sana huyo mchezaji maana amenipa hela ya supu.
 
Mashabiki wa Yanga mmeumia kuliko mashabiki, wachezaji na viongozi wa JKT Tanzania.

Pole sana
 
Aliyetoa lawama hizi utadhani alishache mpira au Hata kukimbia mita 400 au sembuse 100 za uwanja. Kumbuka dakiza za majeruhi fatigue inakuwa Kubwa sana, wakati mwingine akili inataka kufanya hivi lakini mwili unagoma.

Inawezekana aliamini anamshika nje ya box, kwani beki yao ilifanya hivyo mara kdhaa nje ya box kudhibiti mashambulizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…