JKT Tanzania, TAKUKURU na Bodi ya Ligi ichunguze bank account na kumhoji mchezaji Mohamed Bakari

JKT Tanzania, TAKUKURU na Bodi ya Ligi ichunguze bank account na kumhoji mchezaji Mohamed Bakari

Ninyi ni nyuma kuna mwiko na ni jina mlilolichagua wenyewe kwa hiyari yenu.Hata ukijinunisha una mwiko nyuma.Chura utopolo wewe!
Dozi ya sasa itakua ni miezi miwili wala usiwe na hofu ntazibua tope lote mim ndio mtaalamu wewe tulia nshakufikia..
 
Naunga Mkono hoja, Kuna Makosa sio ya kufanya kwenye Mpira....!

Ukiona yamefanyika sio Bure...!
 
FB_IMG_17350710951700100.jpg
 
View attachment 3184539
Winga Mohamed Bakari aliingia dk66 kuchukua nafasi ya Shiza Kichuya, dk77 alioneshwa kadi ya njano ya kizembe ambayo inashangaza na kama haitoshi dk90+3 akafanya uzembe kwa kumvuta Shomari Kapombe ambaye hakuwa na mpira wala hatari yoyote, jambo lililopelekea penati na timu yake kufungwa. Ni kama aliitaka kadi nyekundu, na alikuwa akicheza kwa maagizo maalum. JKT Tanzania chukueni hatua dhidi ya mchezaji huyu na bodi ya ligi ichunguze tuhuma hizi za upangaji matokeo.

Inafikirisha sana! Vitendo hivi ni aibu!
Hapo ni JKT Tanzania tu, hiyo bodi ya ligi na mnyama ni " ntu na nduguye".
 
View attachment 3184539
Winga Mohamed Bakari aliingia dk66 kuchukua nafasi ya Shiza Kichuya, dk77 alioneshwa kadi ya njano ya kizembe ambayo inashangaza na kama haitoshi dk90+3 akafanya uzembe kwa kumvuta Shomari Kapombe ambaye hakuwa na mpira wala hatari yoyote, jambo lililopelekea penati na timu yake kufungwa. Ni kama aliitaka kadi nyekundu, na alikuwa akicheza kwa maagizo maalum. JKT Tanzania chukueni hatua dhidi ya mchezaji huyu na bodi ya ligi ichunguze tuhuma hizi za upangaji matokeo.

Inafikirisha sana! Vitendo hivi ni aibu!
Naunga mkono hoja. Bahasha siyo poa michezoni.
 
JKT wachunguze huko alipoficha, naamini uchunguzi wa makini kufanyika hata kama ameficha chini ya kitanda itabainika tu! Uchumi wake ukianza kubadilika ni ishara tosha
Sasa mtu kama kapewa million mbili uchumi wake utabadilikaje?
 
Halafu uingie kwako ambako pako wazi kama tundu za choo za zamani zile lenga iingie..
Umeanza kuwashwa tena kumbe nilikupa dozi ndogo nilifikiri nilikupa dozi ya mwezi kumbe unaonekana una wadudu wakubwa sana wanakuwasha njoo nikukune hii itakua funga mwaka ntakupa ya miezi miwili..
Hivi ni lazima uwe chizi ndo ushabikie Simba na yanga?
 
*Utaahira sio utahila

Unataka kulinganisha faul aliyocheza Bacca na hii ya huyu njaa kali? Uko serious?
Kumbe unajua unachoumwa,sasa au Tuanze na Kijili then Diara maana yale magoli na Tabora sijui ilikuwaje.
 
Shida yao kubwa ni Njaa! Huyo unaweza kuta amepewa Laki tano tu, Timu imepambana dakika zote anakuja kuigharimu timu kizembe kabisa!
Timu haikupambana,bali kipa aliamka vizuri tu, timu inapaki basi dk zote 90 na kupoteza muda lakini kipa wao anafikika kwa urahisi. Ni bahati tu hawakupigwa mengi
 

Attachments

  • Screenshot_20241224-202227.png
    Screenshot_20241224-202227.png
    357.2 KB · Views: 1
S
*Utaahira sio utahila

Unataka kulinganisha faul aliyocheza Bacca na hii ya huyu njaa kali? Uko serious?
Faul aliyocheza Baca ni ya kijinga zaidi, kitendo cha kufunga goli kwa mkono wakati anajua kabisa ana kadi ya njano hivyo ingemsababishia kupata kadi nyekundu na kukosa michezo muhimu ambayo ingeigharimu timu. Ni bahati yake refa afanya makosa ya kibinadamu
 

Attachments

  • FB_IMG_1735061176543.jpg
    FB_IMG_1735061176543.jpg
    70.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom