JKT are good in defending natumai watafanya kitu.Hata mimi natamani ila yanga walikuwa wanashambulia sana Nyonzima na mapinduzi wanasumbua sana
Yes mi yanga damu kabisaMkuu nye ni utopolo satanda
Yes mi yanga damu kabisa
BONG'OA FCVyura fc
Ukitaka updates humu labda game za Simba lakini utopolo hawana swaga kabisa..halafu wanajiita timu ya wananchi.Nini kinaendelea wakulungwa?